Mashimo ya viraka barabarani yawatesa madeva

Dar/Mikoani. Hivi unajua shimo la barabara linapochongwa ili kuwekwa kiraka linapaswa lidumu kwa saa 72 tu kabla ya kuzibwa? Si hivyo tu, hata barabara inapokatwa kwa ajili ya kuwekwa kiraka, utekelezwaji wake unapaswa kufanyika kwa muda usiozidi saa 48. Kwa mujibu wa Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads), uwekaji wa kiraka ni mbinu ya dharura inayofanywa…

Read More

NAIBU KATIBU MKUU TAMISEMI DK. MSONDE AZINDUWA MAADHIMISHO JUMA LA ELIMU KITAIFA, GEITA

      Mgeni rasmi wa Maadhimisho ya Juma la Elimu Kitaifa yanayoendelea mkoani Geita,  Naibu Katibu Mkuu (Elimu), Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Dkt. Charles Msonde akizungumza alipokuwa akizinduwa Maadhimisho ya Juma la Elimu Kitaifa yanayofanyika mkoani Geita leo. Kaimu Mratibu wa Mtandao wa Elimu Tanzania (TEN/MET), Bi. Martha Makala (wa pili kushoto) akimkabidhi mgeni rasmi na Naibu…

Read More

CCM yaitaka TAKUKURU kuichunguza Chadema tuhuma alizoibua Lissu

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimeitaka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), kufanya uchunguzi dhidi ya tuhuma za uwepo wa fedha chafu katika chaguzi za ndani zinazoendelea ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). Tuhuma hizo zimeibuliwa hivi karibuni na makamu mwenyekiti wake Bara, Tundu Lissu. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea). Wito…

Read More

Mabeyo ametuepusha

NIMEGUSWA na uadilifu, utiifu na uaminifu wa Mkuu mstaafu wa majeshi Jenerali Venance Mabeyo kwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Anaandika Joster Mwangulumbi… (endelea). Jenerali Mabeyo ndiye, saa 24 kabla ya John Magufuli kufariki dunia 17 Machi 2021 katika hospitali ya Mzena, Dar es Salaam, alikuwa ameishika mkononi hatima ya Tanzania. Kwa maelezo yake, yeye…

Read More