Serikali yaanza msako wanaotoa mikopo kausha damu

SERIKALI imeanza kufuatilia watu, vikundi na taasisi zinazotoa kinyume cha sheria mikopo yenye masharti magumu na riba kubwa maarufu kama kausha damu, kwa ajili ya kuwachukulia hatua za kisheria. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma…(endelea). Akizungumza bungeni jijini Dodoma, leo tarehe 2 Mei 2024, Waziri wa Fedha, Dk. Mwigulu Nchemba, amesema Serikali inachukua hatua hiyo ili kuwalinda…

Read More

Kitita cha matibabu chawaibua madaktari bingwa wa magonjwa ya ndani

Dar es Salaam. Wakati Serikali ikiendelea kufanyia maboresho sekta ya afya ikiwamo kuimarisha matibabu kwa kuweka vitita kwa wagonjwa wanaotibiwa kwa bima, Chama cha Madaktari wa Magonjwa ya Ndani Tanzania (APHYTA) kimeshauri maboresho hayo yasiathiri ubora wa huduma. Ushauri huo umetolewa kutokana na maboresho yaliyofanyika hivi karibuni ya kitita cha matibabu kilicholalamikiwa na baadhi ya…

Read More

NBC yashiriki maadhimisho Mei Mosi Arusha

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imeungana na maelfu ya wafanyakazi kote nchini kusherekea Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani, MEI Mosi ambayo kitaifa yamefanyika jijini Arusha yakiongozwa na Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango aliemuwakilisha Rais Samia Suluhu Hassan. Anaripoti Mwandishi Wetu… (endelea). Maadhimisho hayo yaliyofanyika jana Jumatano kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid…

Read More

Madereva Tanga – Horohoro wagoma, kisa hiki hapa

Tanga. Madereva wanaofanya safari zao kutoka Tanga Mjini kwenda wilaya ya Mkinga eneo la Horohoro ulipo mpaka wa Tanzania na Kenya, wamegoma kusafirisha abiria kutokana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri wa Ardhini (Latra) kushusha nauli huku bei ya mafuta ikiwa imepanda. Akizungumza katika Stendi ya Mwembe Mawazo ulipofanyika mgomo huo, leo Mei 2, 2024, Makamu…

Read More

MA-RC TENGENI MAENEO YA MAZOEZI – MAJALIWA

*Aeleza mkakati wa Serikali wa kutumia maji ya mvua WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka Wakuu wa Mikoa yote nchini waanze kufanya tathmini na kubainisha maeneo ambayo yatatumika kufanya mazoezi kila Jumamosi. “Natoa wito kwa Wakuu wa Mikoa waanze kufanya tathmini ya maeneo waliyonayo na kutenga maeneo ya kufanyia mazoezi. Siyo lazima wafunge barabara kama ilivyo…

Read More

Makonda autaka mgodi kubadilisha maisha ya wana-Geita

MKUU wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda ametoa wito kwa Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kuhakikisha fedha zinazotolewa na kampuni hiyo kutekeleza miradi mbalimbali ya kijamii (CSR) zinagusa na kubadilisha maisha ya wananchi wa mkoa wa Geita na Tanzania kwa ujumla. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Mbali na kuipongeza GGML kwa kuja na…

Read More

Rais Ruto amteua Kahariri kuwa CDF Kenya

Kenya. Rais wa Kenya, William Ruto amempandisha cheo Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri kuwa Jenerali na kisha kumteua kuwa Mkuu wa Majeshi (CDF) leo Alhamisi Mei 2, 2024 kuchukua nafasi ya Francis Ogolla, CDF aliyekufa kwenye ajali ya helikopta. Kwa mujibu wa tovuti ya Taifa Leo ya nchini Kenya, mbali na uteuzi huo, mabadiliko mbalimbali…

Read More