Serikali yatoa majibu adhabu ya kifo, kukazia hukumu

Dodoma. Wakati Bunge limepitisha bajeti ya Wizara ya Katiba na Sheria, Serikali imesema suala la kukazia hukumu na adhabu ya kifo ni vitu ambavyo vinafanyiwa kazi, na mabadiliko ya baadhi ya sheria yameanza kuonekana. Pia, imesema Sheria ya Ndoa ya mwaka 1971 imeendelea kufanyiwa kazi kwa kukusanywa maoni na itakapokamilika itawasilishwa bungeni. Hayo yamesemwa leo Jumatatu…

Read More

Mbunge asisitiza wabakaji, walawiti wahasiwe

Dodoma. Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Kilimanjaro, Shally Raymond amesisitiza pendekezo la muda mrefu la baadhi ya wabunge la kuhasiwa wanaume wanaopatikana na hatia ya ubakaji ama ulawiti kwa watoto. Mbunge Shally Raymond amesema hayo leo Jumatatu ya Aprili 29, 2024 wakati akichangia mjadala bungeni wa taarifa ya mpango na makadirio ya mapato na…

Read More

MERIDIANBET YAPIGA HODI MTAANI KUWASHIKA MKONO WAPAMBANAJI

MITAA iliitika mitaa ikaukubali mziki wa Magwiji wa Odds kubwa, Nyumba ya Mabingwa wa michezo ya ubashiri na kasino ya mtandaoni, ufalme wa washindi Meridianbet pale walipopita mitaa mbalimbali ya Jiji la Dar Es Salaam na kuwashika mkono wapambanaji wote. Watu wengi walijitokeza kuona ni nini Meridianbet wamewaletea na hapo ndipo tabasamu lilipofunguka mithili ya…

Read More

Upelelezi wakwamisha kesi vigogo TPA

Dar es Salaam. Upelelezi katika kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) Madeni Kipande (66) na wenzake watano, bado unaendelea.Wakili wa Serikali, Monica Ndekidemi ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, leo Aprili 29, 2024, wakati kesi hiyo ilipoitwa kwa ajili ya kutajwa.Kipande na wenzake wakikabiliwa na mashtaka matatu…

Read More

MAMIA YA WAFANYAKAZI KAMPUNI YA MATI SUPER BRANDS LIMITED WASHIRIKI MEI MOSI MANYARA .

Ferdinand Shayo ,Manyara .   Mamia ya Wafanyakazi wa Kampuni ya kuzalisha vinywaji changamshi ya Mati Super Brands Limited wameshiriki maadhimisho ya siku ya Wafanyakazi ya Mei Mosi yaliyofanyika kimkoa Katika Viwanja vya Tanzanite Kwaraa Wilayani Babati Mkoani Manyara na kupambwa na msafara mrefu wa magari ya kusambaza vinywaji kutoka kwenye kampuni hiyo.   Mkurugenzi…

Read More

Ujenzi wa kudumu barabara, madaraja yaliyoharibiwa kusubiri mvua ziishe

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Waziri wa Ujenzi, Inocent Bashungwa amesema baada ya mvua kuisha wataanza kujenga barabara na madaraja ya kudumu katika maeneo yaliyoathiriwa. Akizungumza leo Aprili 29,2024 baada ya kufanya ziara kukagua miundombinu iliyoharibiwa na mvua katika Wilaya ya Kigamboni amesema kwa sasa wanarudisha mawasiliano ili barabara ziendelee kupitika wakati wakisubiri kupungua kwa…

Read More

Kigogo wa zamani Tucta afichua makubaliano ya kikokotoo

Dar es Salaam. Katibu Mkuu wa zamani wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (Tucta), Nicolaus Mgaya amesema bado wafanyakazi wana safari ndefu ya kupata nyongeza ya kikokotoo, akitaja sababu ni Serikali kushindwa kuiwezesha mifuko ya hifadhi ya jamii kuwa na ukwasi wa kutosha. Mgaya pia amekosoa utendaji wa Tucta akisema imeshindwa kuibana Serikali katika kudai…

Read More

Mvua sio kikwazo tena DSM, Meridianbet yaja na mbinu mbadala kwa bodaboda

Mitaa iliitika mitaa ikaukubali mziki wa Magwiji wa Odds kubwa, Nyumba ya Mabingwa wa michezo ya ubashiri nakasino ya mtandaoni, ufalme wa washindi Meridianbet pale walipopita mitaa mbalimbali ya Jiji la Dar Es Salaam nakuwashika mkono wapambanaji wote. Watu wengi walijitokeza kuona ni nini Meridianbetwamewaletea na hapo ndipo tabasamu lilipofunguka mithili yajua la asubuhi linavyochomoza,…

Read More

Bashungwa awaondoa watendaji Kivuko cha Magogoni – Kigamboni

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amewaondoa watendaji wa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) wanaosimamia usafiri wa kivuko kati ya Magogoni – Kigamboni na kuagiza kupangiwa kazi nyingine kwa kushindwa kusimamia kikamilifu huduma kwa wananchi wanaotumia kivuko hicho. Walioondolewa ni Meneja wa Vivuko Kanda ya Mashariki na Kusini, Mhandisi Lukombe…

Read More