Chongolo acharuka, ataka uchunguzi ujenzi wa bweni

Songwe. Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Daniel Chongolo amemuagiza Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) mkoani humo,  kufanya uchunguzi wa matumizi ya fedha kwenye ujenzi wa bweni la wanafunzi wenye mahitaji maalumu katika shule ya msingi Ipapa iliyopo wilaya ya Ileje kwa gharama ya zaidi ya Sh100 milioni. Chongolo ametoa agizo…

Read More

Miili miwili ya walioangukiwa na ukuta yazikwa Dar

Dar es Salaam. Miili ya watu wawili kati ya wanne wa familia moja waliofariki dunia kwa kuangukiwa na ukuta wa nyumba waliyokuwa wakiishi imezikwa. Ajali hiyo ilitokea Mtaa wa Goroka B, Toangoma, mkoani Dar es Salaam. Miili mingine imesafirishwa kwenda mkoani Kigoma. Ajali ilitokea asubuhi ya Aprili 26, 2024. Waliofariki dunia ni Lidya Heza (21),…

Read More

Jiji la Dodoma hatarini kuwa eneo la makazi holela

Dodoma. Tangu Dodoma ilipotangazwa kuwa Jiji Aprili 2018, kumekuwa na kasi kubwa ya ongezeko la idadi ya watu na shughuli za kibinadamu zinazoathiri mifumo ya ikolojia hasa misitu na uoto wa asili. Kwa mujibu wa Sensa ya Watu na Makazi, idadi ya watu jijini humo imeongezeka kutoka 410,956 mwaka 2012 hadi 765,179 mwaka 2022 sawa…

Read More

Simulizi ya mwanafunzi mchoraji mwenye uoni hafifu

Bukoba. “Nilianza kuchora picha ya chupa ya maji, baadaye nilichora picha ya baba yangu mzazi, kwa sasa nimechora picha ya mbunge wangu, na picha hii ni zawadi kwake. Natamani kusoma chuo  Korea na China ili kuendeleza kipaji changu na kuinua familia yangu yenye uhitaji mkubwa.” Hayo ni maneno ya Julieth Richard (19), msichana mwenye uoni…

Read More

Vijana wapewa ‘mchongo’ sekta ya kilimo

Dar es Salaam. Vijana wametakiwa kujitokeza kuwekeza kwenye sekta ya kilimo kwa kujiunga katika vikundi, ili kuwezesha upatikanaji wa mitaji kwa urahisi, uzoefu na elimu ya kifedha. Kwa kufanya hivyo imeelezwa kutasaidia wanafunzi waliosoma masuala ya kilimo kutokimbia fani hiyo. Mbali ya hayo, imeshauriwa kuboreshwa miundombinu na usafirishaji, kuongezwa mitaji ya uwekezaji, wakopaji kuwa na…

Read More

RC CHONGOLO ASHIRIKI IBADA YA UZINDUZI WA UKUMBI WA KANISA LA KKKT TUNDUMA,ASKOFU MKUU MALASUSA ASEMA SONGWE WAMEPATA MKUU WA MKOA MCHAPAKAZI,MSIKIVU NA ANAYEPOKEA USHAURI.

Mkuu wa Mkoa wa Songwe Mhe.Daniel G. Chongolo ameshiriki katika ibada maalumu ya Kanisa la KKKT Jimbo la Tunduma ikiongozwa na Askofu Mkuu wa makanisa ya KKKT Tanzania Dkt. Alex Malasusa iliofanyika katika mji wa Tunduma sambamba na uzinduzi wa ukumbi wa kanisa hilo. Akiongea katika hafla hiyo Chongoloa amesema mkoa wa Songwe ni moja…

Read More

Kamanda Muliro: Boni Yai, Malisa hawakingwi na sheria

Dar es Salaam. Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro amesema sheria ya watoa taarifa kulindwa,  haimaanishi watu kujikite kutoa za uongo, huku wakidai walindwe. Kamanda Muliro ametoa kauli hiyo leo Aprili 28, 2024 alipotoa elimu kwa umma akijibu kilichoelezwa na Meya wa zamani wa Ubungo, Boniface Jacob maarufu Boni Yai…

Read More