Sababu chanjo ya HPV kupewa wasichana wadogo

Dar es Salaam. Wizara ya Afya imesema hadi kufikia jana, Aprili 27 wasichana zaidi ya milioni 4 wenye umri wa miaka 9 hadi 14 wamechanjwa chanjo ya kukinga saratani ya mlango wa kizazi ( ‘HPV Vaccine’) Tanzania bara na visiwani. Chanjo hiyo iliyotarajiwa kuwafikia wasichana 5,028,357 waliopo katika mikoa 31 na halmashauri 195 Tanzania bara…

Read More

NGORONGORO YAZINDUA ZOEZI LA UPIGAJI KURA KUWANIA TUZO YA KIVUTIO BORA CHA UTALII BARANI AFRIKA.

 Na Mwandishi wetu, Arusha. Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) imezindua zoezi  la upigaji kura kuwania tuzo ya kivutio bora cha utalii barani Afrika kwa mwaka 2024 katika hafla iliyofanyika ukumbi wa Jengo la Ngorongoro Jijini Arusha. Akizindua kampeni hiyo ya upigaji kura kaimu kamishna wa Uhifadhi NCAA Victoria Shayo amesema zoezi hilo litachukua siku…

Read More

Mwanafunzi ajinyonga baada ya mpenzi wake kukamatwa

Mufindi. Mwanafunzi wa kidato cha pili katika shule ya sekondari ya Mgololo iliyopo katika kata ya Makungu, Wilaya ya Mufindi mkoani Iringa, Rahel Nyasi amekutwa amejinyonga katika mti wa shamba lililopo karibu na nyumba yao. Akizungumza kwa njia ya simu leo April 28, 2024, Ofisa Mtendaji wa Kijiji cha Mabaoni, Zephania Masanja, amethibitisha kutokea kwa…

Read More

Serikali kununua helikopta maalumu kutafiti madini

Geita. Waziri wa Madini, Antony Mavunde amesema Serikali kupitia Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST), kwa mwaka ujao wa fedha inakusudia kununua helikopta itakayofungwa vifaa maalumu vyenye uwezo wa kwenda chini umbali wa kilomita moja na kutafiti kwa kina kiwango cha madini kilichopo ardhini. Pia, Serikali inalenga kujenga maabara kubwa na ya…

Read More

Mtanzania kusaka rekodi kisiwa cha Greenland

Moshi. Kijana mmoja mkazi wa Moshi mkoani Kilimanjaro, Wilfredy Moshi anayekwenda kuiwakilisha Tanzania nchini Denmark kwenye mashindao ya kutembea na kuteleza kwenye barafu katika kisiwa cha Greenland, huenda akawa Mtanzania na Mwafrika wa kwanza kufika katika kisiwa hicho. Asilimia 80 ya kisiwa cha Greenland ambacho ni kikubwa zaidi duniani na chenye watu 56,000, imefunikwa na…

Read More

SLOTI YA BOOK OF ESKIMO USHINDI KUGUSA TU

KUPANGA ni kuchagua, chagua kuwa mshindi kila siku kupitia kasino ya mtandaoni ya Meridianbet, kila siku kuna bonasi kibasi na michezo sana usipange kukosa bahati hii. Kupitia sloti mpya ya Book of Eskimo unaweza kushinda kirahisi swali ni je unashindaje shindaje? Jisajili Meridianbet na fuata maelekezo haya. Kasino ya mtandaoni ya Meridianbet inakurejesha kwenye simulizi…

Read More

Kenya,Tanzania na Burundi zakumbwa na mafuriko mabaya zaidi – DW – 28.04.2024

Watu 76 wamepoteza maisha nchini Kenya kutokana na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa za masika zilizoanza kunyesha tangu mwezi Machi. Serikali nchini humo imetoa tahadhari kwa wananchi kujiandaa  kwa mvua kubwa zaidi. Mafuriko yasababisha adha kwa wananchi KenyaPicha: REUTERS Msemaji wa serikali ya Kenya Isaac Mwaura alisema, barabara na vitongoji vimefurika maji na zaidi ya…

Read More

BMH YAKUTANA NA MABALOZI – Mzalendo

Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) imefanya kikao na mabalozi wanaowakilisha Tanzania katika Nchi za Afrika Mashariki, Afrika ya Kati na Astarasia kwa lengo la huduma zake zijulikane katika nchi hizo. Balozi. Said Shaib Mussa, Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, ambaye ameakifungua kikao hicho, amewapongeza mabalozi kwa kuridhia…

Read More