
Masache aomba kuunganishwa barabara Makongorosi-Tabora akiomba kura za Urais
Mbeya. Mgombea pekee ubunge Jimbo la Lupa, Wilaya ya Chunya Masache Kasaka ameomba mgombea Urais atakapoapishwa na kuunda Serikali, kuboresha miundombinu barabara kutoka Makongorosi ili kuunganisha shughuli za kiuchumi baina ya Mkoa wa Mbeya ya Tabora. Mbali na Ombi hilo pia Masache ameomba maeneo ya wachimbaji wadogo kufikishiwa nishati ya umeme kufuatia wananchi wake kujikita…