Kwa Slotopia Ya Meridianbet, Sasa Kila Mzunguko Unakupa Ushindi

Soko la burudani ya kasino mtandaoni sasa limepata nguvu mpya baada ya Meridianbet kuijumuisha Slotopia, mtengeneza michezo anayelenga kuwapa wachezaji burudani isiyo na kikomo pamoja na bonasi na zawadi kemkem. Uzinduzi huu unaashiria kipindi kipya cha ushindi, ambapo kila mzunguko wa mchezo ni fursa ya kuongeza mapato. Slotopia imeundwa kwa lengo la kuhakikisha kila mchezaji…

Read More

Odds Za Moto Leo! Freiburg, Barcelona na Dortmund Wanacheza

Je unajua ushindi wa haraka unaeza ukaupata Meridianbet ambao hawa ni wakali wa mambo ya ubashiri?. Kama hujajua basi ndio nakupa taarifa sasa unachotakiwa kufanya ni kuweka dau kwenye simu yako na kuanza kubashiri na Meridianbet leo. Ligi kuu ya Ujerumani, BUNDESLIGA itaendelea Freiburg ataumana dhidi ya Bayer Leverkusen  ambapo mechi ya mwisho kukutana kati…

Read More

Mapya yaibuka matokeo ya urais Tanzania

Arusha. Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu (AfCHPR) imebaini kuwepo kwa upungufu katika Katiba ya Tanzania unaozuia kupingwa kwa matokeo ya uchaguzi wa urais mahakamani, ikisema kifungu kinachokataza hatua hiyo kinakiuka haki za binadamu. Katika hukumu iliyotolewa leo Ijumaa, Machi 6, 2026, kwenye kesi ya Ado Shaibu na wengine dhidi ya Jamhuri…

Read More

Wanawake wa TRA Morogoro Wawafariji Watoto Yatima na Wazee

Kuelekea ya Siku ya Wanawake Duniani, wanawake wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Morogoro wametembelea na kutoa msaada katika kituo cha kulelea watoto yatima  RAYA, MGOLOLE  pamoja na kituo cha kulelea wazee cha Fungafunga kilichopo Manispaa ya Morogoro. Ziara hiyo imelenga kuonyesha upendo, mshikamano na kuwafariji watoto pamoja na wazee wanaohitaji msaada katika…

Read More

SERIKALI KUSAIDIA ZAIDI SEKTA BINAFSI KUCHANGIA MAENDELEO YA KIUCHUMI InboxSearch for all messages with label Inbox

Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Mhandisi Mshamu Ali Munde (Mb)(kulia) akiagana na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Kampuni ya Serengeti Breweries (SBL), Bw. Paul Makanza, baada ya kikao chake na ujumbe kutoka kampuni hiyo, katika Ofisi Ndogo ya Wizara ya Fedha, jijini Dar es Salaam, ambapo walijadili umuhimu wa kudumisha mazingira thabiti na yanayotabirika…

Read More