JKCI yaokoa Sh1.2 bilioni kwa kutibu watoto 40 nchini
Dar es Salaam. Upasuaji wa watoto 40 wenye matatizo ya kuzaliwa nayo ya moyo uliofanyika kwa siku nane nchini umeokoa Sh1.2 bilioni ambazo zingetumika kama wangetibiwa nje ya nchi. Madaktari wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) kwa kushirikiana na wenzao kutoka nchini Uingereza kesho Aprili 26, wanahitimisha siku nane za upasuaji wa watoto…