Mashindano ya Taifa ya klabu kuogelea yaanza kwa kishindo

Na Winfrida Mtoi, Mtanzania Digital Mashindano ya Taifa Klabu ya Kuogelea yameanza leo Aprili 20,2024, huku  waogeleaji kutoka klabu mbalimbali wakionekana kuchuana vikali  kwenye bwawa la kuogelea  la Shule ya Kimataifa ya Tanganyika(IST), Masaki jijini Dar es Salaam. Michuano  inayotarajiwa kumalizika kesho Aprili 21,2024 inashirikisha jumla ya  klabu 11 za Tanzania na mbili zikitokea nchini…

Read More

Viongozi Ahmadiyya wajifungia wakijadili mambo matatu

Dar es Salaam. Viongozi wa Jumuiya ya Ahmadiyya Kusini mwa Jangwa la Sahara wanakutana jijini Dar es Salaam kwa mkutano wa siku mbili, huku mambo matatu yakitarajiwa kujadiliwa likiwamo la kuongezeka kwa mmomonyoko wa maadili katika nchi zao. Mambo mengine yatakayojadiliwa katika mkutano huo ulioanza leo Aprili 20, 2024, ni kuzorota kwa usalama duniani na…

Read More

Mkuu wa Magereza acharuka wafungwa kufia gerezani

Morogoro. Kamishna Jerenali wa Magereza Tanzania, Mzee Nyamka amewataka watumishi wa jeshi hilo kutimiza wajibu wao kwa kuzingatia sheria na waache kujihusisha na matendo yanayolitia doa jeshi hilo, ikiwamo kuwapiga wafungwa ambao baadhi yao wameshapoteza maisha.  Akizungumza leo Jumapili Aprili 20, 2024 mjini Morogoro wakati akifunga mafunzo ya uongozi daraja la kwanza ngazi ya sajenti…

Read More

Mtumishi Hanang atupwa jela miaka 20 kwa wizi wa Sh3.5 milioni

Hanang’. Aliyekukuwa mtumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Hanang’ mkoani Manyara, Petro Muray amehukumiwa kifungo cha miaka 20 jela, baada ya kupatikana na hatia ya ubadhirifu wa mali ya umma.  Pamoja na adhabu hiyo, Muray ametakiwa kurejesha Sh3.5 milioni alizoisababishia hasara halmashauri hiyo. Muray aliyekuwa mkusanya mapato kwa kutumia mashine ya POS wa halmashauri hiyo,…

Read More

Mtumishi Hanang atupwa jela miaka 20 kwa wizi wa Sh3.5 mililioni

Hanang’. Aliyekukuwa mtumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Hanang’ mkoani Manyara, Petro Muray amehukumiwa kifungo cha miaka 20 jela, baada ya kupatikana na hatia ya ubadhirifu wa mali ya umma.  Pamoja na adhabu hiyo, Muray ametakiwa kurejesha Sh3.5 milioni alizoisababishia hasara halmashauri hiyo. Muray aliyekuwa mkusanya mapato kwa kutumia mashine ya POS wa halmashauri hiyo,…

Read More

Kaya saba zakosa makazi, Mto Kiwira ukiporomosha udongo

Mbeya. Maisha ya wananchi wilayani Rungwe Mkoa wa Mbeya yako hatarini, baada ya maji ya Mto Kiwira kumong’onyoa udongo na kuharibu barabara inayounganisha vijiji Kapugi na Lyenje na nyumba saba, huku nyingine 34 zikiwa hatarini.  Kutokana na hali hiyo, Mkuu wa Wilaya ya Rungwe, Jaffar Huniu amewataka wananchi wa kijiji cha Lwenje kuchukua tahadhari na…

Read More

Vita mpya bodaboda wakilia mikataba ya kinyonyaji

Dar/Mara. Biashara ya usafirishaji abiria kwa kutumia pikipiki maarufu kama bodaboda imegeuka ajira kubwa nchini ikiwa na mambo mengi ndani yake. Wapo wenye pikipiki zao wenyewe, wapo wanazikodi na kurejesha hesabu kwa tajiri (mmiliki) kila siku na wapo wenye mikataba, kwamba baada ya kurejesha fedha za mmiliki pikipiki inabaki mali yao. Utaratibu huu wa mkataba,…

Read More

Karatu wahamisha wanaoishi mabondeni | Mwananchi

Arusha. Halmashauri ya Wilaya ya Karatu mkoani Arusha imeendelea kuwahamisha wananchi wanaoishi mabondeni na kuwapeleka maeneo maalumu yaliyotengwa, ili kuepukana na athari za maafa ya mafuriko.  Jana, halmashauri hiyo ilifanya vikao vya Kamati za Maendeleo ya Kata (WDC) katika kata zote wilayani humo, ili kutambua maeneo yaliyoathirika na mvua zinzoendelea kunyesha. Akizungumza na Mwananchi Digital…

Read More