Mbunge ataka wanaofanya biashara na watoto watafutiwe maeneo

Dodoma. Mbunge wa Viti Maalumu Janeth  Mahawanga amehoji iwapo Serikali haioni umuhimu wa kuwatafutia maeneo wanawake wenye watoto wadogo wajasiriamali wanaofanya biashara zao pembezoni mwa barabara wakati wakisubiri kuwatengea maeneo husika. Akiuliza maswali ya nyongeza bungeni leo Ijumaa Aprili 19, 2024, Janeth pia amehoji lini Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC), kitatengeneza programu mahususi kwa ajili…

Read More

Suala la ndoa kuvunjika latinga tena bungeni

Dodoma. Mbunge wa Same Magharibi, Dk David Mathayo amehoji Serikali ina mpango gani wa kutoa elimu kwa Watanzania kuonyesha umuhimu wa watoto kulelewa na wazazi wawili, kutokana na ndoa nyingi kuvunjika. Dk Mathayo amehoji hayo katika swali la nyongeza leo Ijumaa Aprili 19, 2024 wakati wa kipindi cha maswali na majibu bungeni jijini Dodoma. Amesema…

Read More

Tanesco kuajiri 430, wamo mafundi mchundo

Dodoma. Bunge limeelezwa kuwa watumishi 430 wataajiriwa na Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) katika mwaka 2024/25. Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga amesema hayo leo Ijumaa Aprili 19, 2024 alipojibu swali la mbunge wa Tunduru Kusini, Daimu Mpakate. Mbunge huyo amehoji ni lini Serikali itaajiri madereva na mafundi ambao wamekuwa vibarua wa muda mrefu kwenye…

Read More

Kauli ya Serikali ulipaji fidia katika upanuzi wa barabara

Dodoma. Serikali imesema tathmini iliyofanyika nchini inaonyesha gharama kubwa ya fidia ya mali zilizomo ndani ya eneo la hifadhi ya barabara lililoongezwa la mita 7.5 kila upande,  iko katika majiji na miji. Hayo yamesemwa leo Ijumaa Aprili 19, 2024 na Naibu Waziri wa Ujenzi, Godfrey Kasekenya alipokuwa akijibu swali la msingi la mbunge wa Kibaha…

Read More

Ogolla, CDF wa kwanza kufa madarakani Kenya

Nairobi. Jenerali Francis Omondi Ogolla amekuwa mkuu wa kwanza wa vikosi vya ulinzi nchini Kenya kufariki dunia akiwa madarakani, baada ya ajali ya helikopta iliyoua wanajeshi 10 wa Jeshi la Ulinzi la Kenya (KDF). Rais wa Kenya, William Ruto usiku wa Alhamisi Aprili 19, 2024 alithibitisha vifo hivyo, akitangaza siku tatu za maombolezo na bendera…

Read More