Muuza maji aliwa na mamba ziwani
Mwanza. Muuza maji na mkazi wa Kijiji cha Busisi Wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza aliyefahamika kwa jina moja la Charles, anadaiwa katoweka ziwani baada ya kupitiwa na mamba alipokuwa akichota maji Ziwa Victoria. Tukio hilo limetokea jana Aprili 17, 2024 saa 1:30 usiku akiwa anachoya maji ziwani katika eneo hilo lililopo karibu na mradi wa…