Profesa Janabi aonya kuhusu sukari, akikabidhi msaada waathirika wa mafuriko Rufiji

Kibaha. Miaka 300 iliyopita duniani hakukuwa na sukari, hali inayoelezwa iliwaepusha binadamu kupata magonjwa yanayotokana na matumizi ya bidhaa hiyo.  Kutokana na hilo, imeelezwa wakati umefika sasa wa kuitumia sukari kwa makini kulinda afya. Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Taasisi isiyokuwa ya kiserikali ya THPS (Tanzania Health Promotion Support), Profesa Mohamed Janabi amesema hayo…

Read More

Madiwani Ileje wamtaka DED ajitathimini usimamizi wa miradi

Ileje. Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya Ileje mkoani Songwe limemtaka Mkurugezi Mtendaji wa Halmashauri hiyo, Nuru Kindamba ajitathimini katika usimamizi wa fedha za miradi zinazotolewa na Serikali Kuu. Hayo yamejiri leo Jumamosi Aprili 20, 2024 katika kikao cha Baraza la Madiwani baada ya madiwani hao kubaini miradi mingi ya maendeleo haijakamilika huku fedha…

Read More

Sugu arejesha fomu akitaja vipaumbele vitatu kuimarisha Chadema Kanda ya Nyasa

Mbeya.  Mgombea wa nafasi ya uenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Nyasa, Joseph Mbilinyi maarufu ‘Sugu’ ametaja sababu zilizomvuta kuwania kiti hicho, huku akitaja vipaumbele vitatu kati ya 10 atakavyotekeleza akishinda. Sugu aliyewahi kuwa mbunge wa Mbeya Mjini anawania kiti hicho sambamba na mbunge wa zamani wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter…

Read More

Dk Mwinyi awapa mbinu wahandisi utekelezaji miradi mikubwa

Unguja. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amesema ili wahandisi wazawa wapewe miradi mikubwa inayotekelezwa na Serikali hawana budi kuungana kupata mitaji mikubwa.  Hata hivyo, amesema Serikali zote mbili zinaendelea kushirikisha taaluma ya uhandisi katika shughuli mbalimbali, ikiwamo kuweka mazingira yanayowawezesha kujiajiri. Dk Mwinyi ametoa kauli hiyo leo Aprili 20, 2024 alipozindua taasisi ya wasanifu,…

Read More

Dk Nchimbi aibeba falsafa ya maridhiano ya Rais Samia

Songea. Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi amesema siasa ya vyama vingi si ugomvi, akiwataka wana-CCM na Watanzania kutoacha kuzungumza na kusalimiana, ili kujenga mshikamano wa Taifa.  Amewataka wanachama wa CCM kuishi katika misingi ya kutogombana, ili kutunza dhamira ya Rais Samia Suluhu Hassan ya kuhimiza maridhiano na umoja wa kitaifa…

Read More

Vifo kutokana na mafuriko Mlimba vyafikia 49

Dar es Salaam. Msemaji wa Serikali, Mobhare Matinyi amesema idadi ya vifo vilivyotokana na mafuriko katika Halmashauri ya Mlimba, mkoani Morogoro imefikia 49. Msemaji wa Serikali ameeleza hayo leo Aprili 20, 2024 jijini Dar es Salaam, wakati akitoa taarifa juu ya hali ya mafuriko nchini na ratiba ya sherehe ya Muungano itakayofanyika Aprili 26, mwaka huu. …

Read More

Ujenzi nyumba za waathirika maporomoko ya Hanang waendelea

Arusha.Ujenzi wa nyumba 108 za waathirika wa maafa ya maporomoko ya matope, mawe na magogo ya miti kutoka Mlima Hanang unaendelea katika eneo la Gidagamowd, Kata ya Mogitu.  Nyumba hizo zinajengwa kwa waathirika wa maafa hayo waliopoteza makazi yao na chache kwa wale wanaoishi kwenye mazingira hatarishi. Akizungumza na Mwananchi Digital, leo Aprili 20, 2024,…

Read More

Makowo wapewa gari la wagonjwa waliloomba serikalini 2021

Njombe. Wananchi wa Kata ya Makowo, Halmashauri ya Mji wa Njombe, wamepatiwa gari la kubeba wagonjwa litakalowapunguzia changamoto ya kusafiri umbali mrefu kufuata huduma za afya.  Akikabidhi gari hilo leo Jumamosi Aprili 20, 2024 Mbunge wa Njombe Mjini, Deo Mwanyika amesema mwaka 2021 aliomba hospitali hiyo ipatiwe vifaa tiba, wahudumu wa afya na gari la…

Read More

AIC Nira Gospel Choir, Lemi George wazidi kupaa

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Mwimbaji wa gospo kutoka jijini Mwanza, Lemi George na kwaya ya AIC Nira, wamefanikiwa kujizolea mashabiki wapya kupitia wimbo wao mpya, Msalabani. Akizungumza na mtanzania.co.tz leo, Lemi, alisema anamshukuru Mungu kwa mapokezi makubwa ya video ya wimbo huo ambao umefanya vizuri katika msimu wa sikukuu ya Pasaka. “Huu ni upendo…

Read More