Singida yalipa Mamilioni ya Fedha kwa stakabadhi bandia

*OR-TAMISEMI ,TRA zapewa ushauri na CAG Na Chalila Kibuda,Michuzi Blog Halmshauri ya Singida mkoani Singida yatumia malipo ya sh. Milioni 147.29 yaliyodhibitishwa na Stakabadhi Bandia ‘Fake’ Kwa Mujibu wa Ripoti ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) CPA Charles Kichere pya Mwaka wa Fedha 2023/2023 ilisema kuwa katika ukaguzi alibaini kwa malipo…

Read More

UMASIKINI WADAU WA KUCHANGIA UHARIBIFU WA MAZINGIRA NCHINI

Na Mwandishi Wetu, Morogoro IMEELEZWA kuwa kuna uhusiano mkubwa kati ya umaskini na uharibifu wa mazingira hivyo ni muhimu wadau wa uhifadhi kuendelea kushirikiana na serikali katika kutekeleza miradi mbalimbali ya kiuchumi ili kupunguza uharibu wa mazingira. Kauli hiyo imetolewa na Mshauri wa Maliasili wa Mkoa wa Morogoro ambaye pia ni Ofisa Wanyamapori wa mkoa…

Read More

CBE kuwasaidia wajasiriamali kufikia ndoto zao

Na Mwandishi Wetu CHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kinakusudia kuanzisha mafunzo ya uanagenzi kwa wanafunzi wanaosoma shahada ya masuala ya benki, fedha, metrolojia na viwango, ambayo yatawawezesha kusoma huku wakifanyakazi. Akizungumza katika siku ya CBE taaluma na programu atamizi jijini Dar es Salaam Mkuu wa chuo hicho, Profesa Edda Lwoga, amesema lengo ni kuwawezesha…

Read More

Sheria ya Magereza yatajwa chanzo cha manyanyaso kwa wafungwa

Dar/Morogoro. Kauli iliyotolewa na Mkuu wa Jeshi la Magereza, Kamishna Jenerali, Mzee Nyamka kuhusu unyanyasaji wa wafungwa magerezani, imewaibua wadau wa haki za binadamu wakitaka Serikali iwajibike kuchukua hatua za haraka kwa kuwa mambo hayo yameshalalamikiwa sana. Wadau hao wakiwamo wanasheria, wameikosoa Sheria ya Magereza ya mwaka 1967 kuwa imepitwa na wakati na ndiyo chanzo…

Read More

Mabalozi wa Tanzania nje wanolewa chuo cha uongozi

Kibaha. Mabalozi wanaoiwakilisha Tanzania katika mataifa mbalimbali duniani wamekutana mjini Kibaha, mkoani Pwani kwa warsha maalumu inayolenga kuwakumbusha majukumu yao na matarajio ya Serikali kwenye maeneo yao ya kazi. Warsha hiyo iliyoandaliwa na Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, imeanza leo Aprili 21, 2024 katika Chuo cha Uongozi cha Mwalimu Julius…

Read More

Mbunge kujenga ofisi za CCM za Sh150 milioni

Bukoba. Mbunge wa Bukoba Vijijini (CCM), Jasson Rweikiza amejitolea kujenga ofisi za Chama cha Mapinduzi (CCM) Bukoba Vijijini kwa gharama ya Sh150 milioni. Taarifa ya ujenzi wa ofisi hizo zilizopatikana wilayani humo, zimethibitishwa na mbunge huyo leo Aprili 21, 2024 wakati akizungumza na Mwananchi Digital kuhusu maendeleo ya mradi huo na ulipofikia hadi sasa. “Ni…

Read More