Mambo saba usiyopaswa kufanya baada ya kula

Dar es Salaam. Chakula ni muhimu kwa afya njema na kuna misingi inatakiwa kufuatwa ili kuepukana na madhara yatakayosababishwa baada ya kula chakula. Wataalamu wanaelezea mambo saba ya kuzingatia baada ya kula chakula ili kuepuka muingiliano wa virutubisho vinavyopatikana kwenye chakula na changamoto zinazoweza kusababisha maradhi. Daktari wa binadamu, Erick Shayo anasema Watanzania hawana utamaduni…

Read More

 Wenye nyumba Bonde la Msimbazi washtukiwa kutaka malipo ya wapangaji

Dar es Salaam. Wamiliki wa nyumba zinazoguswa na mradi wa uendelezaji Bonde la Mto Msimbazi wakiwa wameshalipwa fidia na kuanza kuhama, kumeibuka malalamiko ya waliokuwa wapangaji katika nyumba hizo kutolipwa licha ya Serikali kuwaahidi malipo. Kwa mujibu wa Serikali, malipo yamesitishwa kutokana na baadhi ya wahusika kubainika kughushi nyaraka. Katika utekelezaji wa mradi huo unaogharimu…

Read More

 Wenye nyumba Bonde la Msimbazi washtukiwa kutaka kujipatia malipo ya wapangaji

Dar es Salaam. Wamiliki wa nyumba zinazoguswa na mradi wa uendelezaji Bonde la Mto Msimbazi wakiwa wameshalipwa fidia na kuanza kuhama, kumeibuka malalamiko ya waliokuwa wapangaji katika nyumba hizo kutolipwa licha ya Serikali kuwaahidi malipo. Kwa mujibu wa Serikali, malipo yamesitishwa kutokana na baadhi ya wahusika kubainika kughushi nyaraka. Katika utekelezaji wa mradi huo unaogharimu…

Read More

Kilio cha ma-DC kuazima magari chazua gumzo

Dar es Salaam. Wakati Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Seriali za Mitaa (Tamisemi),  ikipanga kutumia Sh190.57 bilioni kwa ajili ya ununuzi wa magari ya viongozi wa mikoa na wilaya, suala hilo limeibua hisia tofauti miongoni mwa wananchi, wengine wakiona ni mwendelezo wa matumizi mabaya ya fedha za umma. Kwa upande mwingine, baadhi ya…

Read More

Kauli ya ‘tutawapoteza’ ya kigogo UVCCM moto

Mwanza/Kagera. Kauli ya Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM), Faris Buruhan ya kulitaka Jeshi la Polisi kutowatafuta vijana wanaotukana viongozi mtandaoni pindi watakapokuwa wamepotezwa, imezuia mjadala baada ya watu kuanza kukumbushia waliopotea kusipojulikana. Aprili 16, 2024, akizungumza na viongozi pamoja na vijana wakati wa ziara yake katika mji mdogo wa Rulenge Ngara mkoani…

Read More