Hakuna kitakachoharibika Iran – DW – 20.05.2024

Muda mfupi baada ya Kiongozi wa juu wa kisiasa na kidini wa Iran Ayatollah Ali Khamenei kumtangaza kuwa kaimu Rais, Mohammad Mokhber ameongoza kikao chake cha kwanza cha baraza la mawaziri. Katika kikao hicho Mokhber amewahakikishia raia wa taifa hilo  kuwa hakuna kitakachoharibika baada ya kifo cha Ebrahim Raisi. Soma zaidi: Risala za rambirambi zatolewa kutoka…

Read More

Billioni 38 kunufaisha wakulima nyanda za juu Kusini

Wafadhili kutoka Canada Wametoa bilioni 38 kwajili ya kusaidia shughuli za kilimo Nchini ili kuhumimili Athari za mabadiliko ya tabia ya Nchi. Fedha hizo zimetolewa na Canada kupitia shirika la Care International Tanzania na mradi wake utakuwa wa miaka 6 katika wilaya za Iringa , Kilolo , Mufindi, Wangi’ombe pamoja na Mbarali . Akizungumza baada…

Read More

Huduma hisa, hati fungani kupatikana matawi ya NMB

Dar es Salaam. Ili kuongeza ushiriki wa wananchi katika soko la mitaji nchini, Benki ya NMB imesaini makubaliano na kampuni ya uwakala na ushauri wa uwekezaji ya ORBIT Securities, ili kuiwakilisha katika soko la hisa la Dar es Salaam (DSE). Hatua hiyo inakuja baada ya NMB kupata idhini kuwa wakala wa madalali wa soko la…

Read More

SERIKALI YASHUHUDIA MKATABA WA USD MILIONI 30 KUJENGA MINARA TANZANIA KATI YA TOA TANZANIA NA BII

Waziri wa habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye(katikati) na balozi wa Uingereza nchini Tanzania, Divid Concar (Kulia) wakishuhudia Mtendaji Mkuu wa TOA Tanzania Innosent Mushi wapili kushoto na Mkurugenzi wa Uwekezaji wa British International Investment Sithembumenzi Vuma (wapili kulia) wakibadilishana hati za mikataba wa kuboresha huduma za mawasiliano nchini. Katika mkataba huo British…

Read More

TANZANIA YAUNGA MKONO UAMUZI WA SADC – MAJALIWA

*_Ni kuhusu mbinu za uvunaji wa maji na udhibiti wa mafuriko_* WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Tanzania inaunga mkono uamuzi wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) juu ya kuongeza mbinu za uvunaji wa maji, udhibiti wa mafuriko na miundombinu ya kuhifadhi maji hayo ili yatumike wakati wa ukame ama kiangazi kuzuia mafuriko…

Read More

Balozi Nchimbi aonya maofisa utumishi kuacha uonevu

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi amewataka watumishi wanaosimamia utawala na rasilimali watu sehemu za kazi kuwatendea haki wafanyakazi wote kwa kujiepusha na vitendo vyovyote vya uonevu. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Akizungumza kwenye Maadhimisho ya Siku ya Wataalam wa Rasilimali Watu na Utawala Duniani, leo Jumatatu mkoani Morogoro, Balozi…

Read More