Hivi ndivyo walivyojipanga wagombea ngazi ya kanda Chadema

Dar es Salaam. Wagombea wa nafasi mbalimbali kwenye kanda nne ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wamesema uchaguzi utakaofanyika kati ya Mei 25 na 29, 2024 hautakuwa mwepesi kwa sababu kwa asilimia kubwa umewakutanisha wagombea waandamizi wa ndani ya chama hicho. Wamesema uchaguzi huo utakuwa na ushindani, tofauti na mwingine wowote awali, kwa…

Read More

Kampeni wagombea Chadema zashika kasi kwenye kanda

Dar es Salaam. Wagombea wa nafasi mbalimbali kwenye kanda nne ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wamesema uchaguzi utakaofanyika kati ya Mei 25 na 29, 2024 hautakuwa mwepesi kwa sababu kwa asilimia kubwa umewakutanisha wagombea waandamizi wa ndani ya chama hicho. Wamesema uchaguzi huo utakuwa na ushindani, tofauti na mwingine wowote awali, kwa…

Read More

Mchakato mrefu unavyowakosesha bodaboda wengi leseni

Dar/mikoani. Mchakato mrefu wa upatikanaji wa leseni za udereva kwa madereva wa pikipiki na bajaji pamoja na tozo za Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Ardhini (Latra), vimetajwa kuwa chanzo cha uendeshaji holela wa vyombo hivyo. Hayo pia yanatajwa kuwa miongoni mwa sababu za madereva wengi wa pikipiki maarufu bodaboda kutokuwa na mafunzo wala leseni…

Read More

Jeshi la DR Congo lazima jaribio la mapinduzi

Kinshasa. Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo limetangaza kuzuia jaribio la mapinduzi dhidi ya Rais Felix Tshikedi jijini Kinshansa. Taarifa hiyo iliyochapishwa katika tovuti ya BBC leo Jumapili Mei 19, 2024 imesema; “Msemaji wa jeshi la DR Congo, Brigedia Jenerali Sylavin Ekenge amesema kwenye kituo cha runinga cha Taifa, RTNC TV kwamba washukiwa kadhaa…

Read More