Majaliwa kuongoza kongamano wanahabari mitandao ya kijamii

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Zaidi ya washiriki 500 wanatarajia kushiriki katika kongamano la wanahabari wa mitandao ya kijamii litakalofunguliwa na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa. Kongamano hilo lililoandaliwa kwa ushirikiano wa Jumuiya ya Mitandao ya Kijamii Tanzania (Jumikita) na Shirikisho la Serikali za Wanafunzi wa Vyuo Vikuu Tanzania (Tahliso) litafanyika Mei 20,2024 jijini Dar es…

Read More

Wakazi Handeni wataka bei rafiki gesi ya kupikia

Tanga. Baadhi ya wakazi wa Wilaya ya Handeni Mkoa wa Tanga, wameishauri Serikali kuangalia uwezekano wa kuweka bei rafiki ya kubadilisha mitungi ya gesi ya kupikia itakayosaidia hata wenye kipato kidogo kuimudu. Wakizungumza kwenye hafla ya kugawa majiko banifu na mitungi ya gesi kwa wananchi wa eneo hilo iliyofadhiliwa na Serikali kupitia Wakala wa Nishati…

Read More

Wakili Mwabukusi anusurika kufungiwa, asema hatarudi nyuma

WAKILI Boniface Mwabukusi amesema kuwa hatorudi nyuma kuwatetea Watanzania na rasilimali zao licha ya uamuzi wa Kamati ya Maadili ya Mawakili kumpa onyo juu ya kutokana na malalamiko ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Dk. Eliezer Feleshi kuwa alitoa kauli za kichochezi, zisizo na staha na zisizozingatia taaluma ya uwakili. Anaripoti Faki Sosi… (endelea). Mwabukusi amepewa…

Read More

Wanariadha wa Olimpiki wang’ara Africa Day Marathon

Na Winfrida Mtoi, Mtanzania Digital Wanariadha wa maarufu Tanzania na wale walifuzu kushiriki michezo ya Olimpiki, wameng’ara na kubeba katika mbio za Africa Day Marathon zilizofanyika leo Mei 18, 2024 jijini Dar es Salaam. Wanariadha hao ni Alphonce Simbu (JWTZ)aliyebuka mshindi wa kwanza katika mbio za kilomita 15, akikimbia kwa dakika 42:56, wa pili ni…

Read More