RC Chongolo atangaza ‘vita’ kwa wanaovusha wageni kinyemela

KATIKA kulinda usalama wa nchi kupitia mpaka wa Songwe, Mkuu wa mkoa huo, Daniel Chongolo ametangaza ‘vita’ kwa wananchi watakaojihusisha na shughuli za uvushaji na usafirishaji haramu wa binadamu. Anaripoti Ibrahim Yassin, Songwe… (endelea). Chongolo aliyasema hayo jana Ijumaa wakati akizungumza na wananchi kupitia mikutano alipokuwa akihitimisha ziara yake ya kikazi wilayani Momba. Amesema zipo…

Read More

Sh38 bilioni kuwanufaisha wakulima wadogo nyanda za juu kusini

Pwani. Wafadhili kutoka Canada, wametoa Sh38 bilioni kusaidia shughuli za kilimo nchini kuhimili athari za mabadiliko ya tabianchi. Makali ya mabadiliko ya tabianchi yameendelea kuumiza vichwa vya mataifa tajiri duniani yanayotafuta suluhu na kuwezesha nchi zinazoendelea katika kupambana na hali hiyo. Hata hivyo, mabadiliko ya tabia nchi yanagusa nchi zote na kwa Tanzania katika  kilimo…

Read More

NAIBU WAZIRI MWANAIDI AOMBA BUNGE NA JAMII KUUNGA MKONO JITIHADA ZA SERIKALI MAPAMBANO DHIDI YA UKATILI

Na WMJJWM-Dodoma. Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum ameweka msisitizo kwa kuliomba Bunge na Jamii kwa ujumla kuunga mkono jitihada za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan za mapambano dhidi ya vitendo vya ukatili na mmomonyoko wa maadili nchini. Naibu Waziri Mwanaidi ameyasema hayo…

Read More

WANANCHI WAIPONGEZA TANROADS-MOROGORO KWA KUREJESHA MIUNDOMBINU YA BARABARA WILAYANI MALINYI

Baadhi ya wananchi katika Wilaya ya Malinyi mkoani Morogoro wameipongeza Wizara ya Ujenzi kupitia Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) kwa kuendelea na kazi ya urejeshaji wa miundombinu ya barabara na madaraja ambayo imeathiriwa na mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali. Wamesema kuwa mvua zinazoendelea kunyesha katika mkoa huo zimesababisha maji kupita juu ya barabara na…

Read More

KHRC yawashtaki mawaziri kwa uzembe – DW – 18.05.2024

Kelly Malenya, wakili wa KHRC, ameliambia shirika la habari la Ujerumani dpa kwamba waliwasilisha kesi hiyo mahakamani hapo jana na kwamba wamewashtaki Kithure Kindiki Waziri wa Mambo ya Ndani, Soipan Tuya waziri wa Mazingira na Alice Wahome waziri wa Ardhi. Mwanasheria mkuu Justin Muturi ni miongoni mwa watu wanaohusishwa pia katika kesi hiyo inayolikabili pia…

Read More

Mfumo wa ulinzi Ikulu, makazi ya Rais kuimarishwa

Unguja. Ofisi ya Rais, Ikulu, kwa mwaka wa fedha 2024/25 imepanga kutekeleza miradi mitatu ya maendeleo, ukiwamo wa uimarishaji wa mfumo wa ulinzi na usalama katika majengo ya Ikulu na makazi Rais. Akisoma hotuba ya bajeti Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Ikulu, Ali Suleiman Ameir, amesema mradi mwingine ni uimarishaji wa mfumo wa ulinzi…

Read More

Tunataka Katiba lakini… | Mwananchi

Unguja. Ili kupata Katiba mpya, maendeleo ya demokrasia, chaguzi zenye haki na utawala bora, wadau wametoa mapendekezo wakitahadharisha madai yafanyike pasipo umwagaji damu. Viongozi wa dini, asasi za kiraia na wanasiasa wamesema umefika wakati wa kushirikiana kama Taifa bila kujali tofauti za vyama au dini kuandamana kwa njia ya amani kudai Katiba mpya, vinginevyo itapita…

Read More

JK atoa angalizo jamii kumsahau mtoto wa kiume

Dar es Salaam. Rais Mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete ametoa tahadhari akisema wakati nchi ikifanikiwa kumnyanyua mtoto wa kike, muhimu ni kutomuacha nyuma mtoto wa kiume kielimu. Amesema hatua hiyo itaisaidia nchi kusonga mbele katika ulimwengu wa sasa, kwani kumuacha nyuma mtoto wa kiume anaweza kuja kuwa tatizo katika jamii. Kikwete ameyasema hayo…

Read More