Sendiga akemea watoto kunyimwa fursa ya elimu

Simanjiro. Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Queen Sendiga amekemea kitendo cha wazazi na walezi wanaowazuia watoto wao wa kiume kwenda shule, badala yake kuwageuza wachungaji wa mifugo.  Amesema nyakati hizi si za wazazi kupuuzia elimu kwa watoto wao badala yake wawe mstari wa mbele kuwahimiza kuipenda. Sendiga amesema hata watoto wa kike nao  wananyimwa fursa…

Read More

RC Mrindoko acharuka fedha za makandarasi

Katavi. Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Mwanamvua Mrindoko amewaagiza wakurugenzi wa halmashauri zote tano kulipa madeni wanayodaiwa na makandarasa wanaotekeleza miradi ya maendeleo katika halmashauri zao. Kauli hiyo ameitoa leo Ijumaa Mei 17, 2024  wakati akisikiliza kero za wananchi baada ya kupokea malalamiko mengi kutoka kwa wananchi wakidai kutolipwa fedha kutokana na kazi walizofanya kwenye…

Read More

Ethiopia yafungua njia ujenzi wa ubalozi Dodoma

Serikali ya Tanzania imeipongeza Serikali ya Ethiopia kwa kuweka historia kwa kuwa nchi ya kwanza kujenga majengo ya Ofisi na Makazi ya Balozi katika Mji wa Serikali Dodoma na kutoa wito kwa nchi nyingine kuiga mfano huo. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Pongezi hizo zimetolewa na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa…

Read More