Dk Mpango ataja mchango wa Askofu Ruwa’ichi nchini

Dar es Salaam. Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango amesema Serikali inatambua thamani ya utumishi wa Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Jude Thaddaeus Ruwa’ichi katika kipindi cha miaka 25 alichotumikia utume wake nchini. Akizungumza leo Mei 16, 2024 akimwakilisha Rais Samia Suluhu Hassan kwenye adhimisho la misa ya jubilei…

Read More

Wataka fursa ziguse wakulima, wafugaji wadogo

Dar es Salaam. Wadau wa kilimo, uvuvi na ufugaji wamesema hatua ya Serikali ya kuendelea kuzifungamanisha taasisi za fedha na sekta hizo ni hatua nzuri.  Lakini wametoa angalizo kuwa fursa hizo ziwaguse wakulima, wafugaji wakubwa na wadogo badala ya kuwaangalia zaidi wakubwa. Walieleza hayo jana wakati wakitoa maoni yao kuhusu hatua ya Benki ya Maendeleo…

Read More

NEMC YATOA SIKU 90 KWA WENYE VITUO VYA AFYA NA HOSPITALI KUWEKA MIUNDOMBINU SAHIHI YA KUTEKETEZA TAKA

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV BARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), limetoa siku 90 kwa taasisi zote zinazojishughulisha na utoaji wa huduma za afya nchini kuweka miundombinu sahihi ya kuteketeza taka zinazotokana na huduma za afya au kuwapa wakandarasi waliothibitishwa na sheria ili kuepuka kuhatarisha afya na mazingira kwa ujumla. Baada…

Read More

ACT-Wazalendo, CUF vyasusia uchaguzi Kwahani

Dar es Salaam. Chama cha ACT-Wazalendo kimetangaza kususia uchaguzi mdogo wa ubunge jimbo la Kwahani mjini Unguja utakaofanyika Juni 8, 2024. Sababu za kususia uchaguzi huo imetajwa ni mwendelezo wa chama hicho kikuu cha upinzani Zanzibar, kushinikiza watendaji waliopo kujiuzulu ili kupata makamishna wapya na sekretarieti mpya ya Tume Huru ya Uchaguzi. Kwa nyakati tofauti…

Read More