Songwe yaweka mikakati kuongeza uzalishaji wa kahawa

Songwe. Wakati mkoa wa Songwe ukishika nafasi ya pili kitaifa kwa uzalishaji zao la kahawa aina ya Arabika, Serikali mkoani humo imesema inahitaji kuongeza uzalishaji wake kutoka tani 11,355 hadi 32,617 ifikapo mwakani 2025. Hayo yamebainishwa leo Mei 16, 2024 wakati wa hafla ya kufunga mafunzo kwa wakulima 681 wa zao hilo kutoka vyama sita…

Read More

Makonda aipongeza Benki ya CRDB msaada wa Pikipiki kwa Jeshi la Polisi kuimarisha Usalama kwa Watalii Jijini arusha

Arusha 16 Mei 2024 – Serikali imeipongeza Benki ya CRDB kwa kutoa msaada wa pikipiki kwa Jeshi la Polisi mkoani Arusha ili kuimarisha doria zitakazoongeza usalama kwa watalii wanaokuja nchini. Pongezi hizo zimetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda alipopokea pikipiki hizo zenye thamani ya Shilingi Milioni 50 kwenye hafla fupi ya makabidhiano…

Read More

JKT yaongeza mahanga kwa vijana

Kigoma. Jumla ya vijana 14,100 watapatiwa nafasi katika mahanga 141 yaliyojengwa na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Rais Samia Suluhu Hassan la kurekebisha mahanga ili waweze kuchukua vijana wengi zaidi. Itakumbukwa wakati wa maadhimisho ya miaka 60 ya JKT, Rais Samia aliitaka Wizara ya Ulinzi kuandaa mpango mkakati wa…

Read More

WAZIRI MAKAMBA AWASILI NCHINI CHINA KWA ZIARA YA KIKAZI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. January Makamba (Mb.) leo tarehe 16 Mei 2024 amewasili nchini China kuanza ziara ya kikazi. Ziara hii mbali na kudumisha ushirikiano wa kidiplomasia wa kihistoria uliopo baina ya mataifa haya mawili ni muendelezo wa utekelezaji wa Diplomasia ya Uchumi ikilenga kufuatilia utekelezaji wa makubaliano…

Read More

Waziri Mkuu: Tanzania imepiga hatua sekta ya mawasiliano

Na Mwandishi Wetu Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Tanzania ni miongoni mwa nchi zinazopiga hatua kubwa kwenye sekta ya mawasiliano na teknolojia ya habari. Amesema kuwa mipango na mikakati iliyowekwa na Rais Dk. Samia Suluhu Hassan katika kuhakikisha sekta ya teknolojia ya habari na mawasiliano inakua, imeonesha kuleta matokeo chanya katika maendeleo ya Taifa. “Ninatoa…

Read More

Namna Zimbabwe inavyohaha na uhaba mkubwa wa chakula

Hali ya chakula nchini Zimbabwe inaripotiwa kuwa mbaya. Kulingana na ripoti kutoka Shirika la Chakula la Umoja wa Mataifa (WFP), takribani watu milioni tano, ambao ni karibu theluthi moja ya watu wote milioni 16 wa Zimbabwe, wanahitaji msaada wa chakula. Wazimbabwe milioni 2.5 wanakabilia na hatari ya kufa njaa, na wengine milioni 5.5 wako katika…

Read More

‘WANANCHI ACHENI KUNUNUA DAWA ZINAZOTEMBEZWA MIKONONI,KATIKA MABASI KWANI NI HATARI KWA AFYA’

Na Said Mwishehe, Michuzi TV-Iringa MKUU wa Mkoa wa Iringa Peter Serukamba amewataka wananchi waaache mara moja kununua dawa zinazotembezwa mikononi ikiwa ni pamoja na katika vyombo vya usafiri(mabasi) kinyume cha sheria kwani mara zote dawa hizo huwa ni duni na bandia. Pia amesema Serikali haitamwonea huruma mtu yeyote atakayepatikana na dawa bandia kwa kigezo…

Read More

‘Tahadharini na dawa zinazotembezwa mitaani’

Iringa. Wananchi wametahadharishwa kununua dawa za binadamu zinazouzwa kwenye vyombo vya usafiri na zile zinazotembezwa barabarani kwa kuwa ni duni na huleta madhara kwa mtumiaji. Mara kadhaa dawa hizo zimekuwa zikiuzwa katika mabasi ya mikoani na hata daladala kwa madai kuwa zinatibu magonjwa mbalimbali. Tahadhari hiyo imetolewa leo Alhamisi Mei 16, 2024 na Mkuu wa…

Read More