Wanasiasa hawasaidii mchakato wa Katiba mpya

Seneta wa jimbo la Busia, nchini Kenya, Okiya Okoiti Andrew amesema Tanzania haiwezi kupata Katiba mpya kwa kuwategemea wanasiasa pekee bali kila mwananchi anapaswa kushiriki kikamilifu kuidai. Anaripoti Salehe Mohamed, Zanzibar … (endelea). Kauli hiyo ameitoa leo Alhamisi katika mkutano wa demokrasia wa mwaka 2024 unaofanyika katika hoteli ya Golden Tulip Zanzibar, ambapo amesema Kenya…

Read More

Jeshi la Polisi Arusha lapigwa jeki pikipiki 20

Arusha. Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda ameahidi kwamba kabla ya kufikisha siku 100 za uongozi wake mkoani humo, atakuwa ametekeleza ahadi zake ikiwemo kuliwezesha Jeshi la Polisi mkoani humo kupata pikipiki 50, baisikeli 100 zinazotumia umeme  na magari 20. Amesema ataendelea kukusanya michango kutoka kwa wadau mbalimbali kufanikisha vitendea kazi hivyo na kuwa…

Read More

Mikoa sita vinara wizi wa mtandaoni hii hapa

Dodoma. Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye, ametaja mikoa sita yenye matukio mengi ya wizi wa kimtandao. Nape ameitaja mikoa hiyo bungeni leo Mei 16, 2024 alipowasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara hiyo kwa mwaka wa fedha 2024/25. Ameliomba Bunge kuidhinisha Sh180.92 bilioni. Nape amesema Serikali kupitia Mamlaka ya…

Read More

MFANYAKAZI HODARI WIZARA YA FEDHA 2024 AKABIDHIWA CHETI

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha. Bi. Jenifa Christian Omolo (kushoto) akiagana na Bw. Masoud Ndembo, kutoka Idara ya Usimamizi wa Mifumo ya Fedha na Huduma za Tehama, ambaye ni Mfanyakazi Hodari wa Wizara ya Fedha kwa mwaka 2024 baada ya kukabidhiwa Cheti, alipotembelewa nyumbani kwake jijini Dodoma. Kulia ni Katibu wa TUGHE Wizara ya…

Read More