Mbowe: Hatuoni faida ya demokrasia

Mwenyekiti wa Chadema, Fremaan Mbowe amesema Tanzania haijanufaika na miaka 30 ya demokrasia kutokana na mifumo iliyopo kukinufaisha Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinachoamini fikra zake ndizo sahihi katika kuongoza nchi. Anaripoti Salehe Mohamed, Zanzibar… (endelea). Mbowe ametoa kauli hiyo leo Alhamis katika mkutano wa demokrasia kwa mwaka 2024 unaofanyika katika Hotel ya Golden Tulip, ambapo…

Read More

WAZIRI WA FEDHA DKT. MWIGULU NCHEMBA AFANYA MAZUNGUMZO NA MKURUGENZI WA ECOBANK TANZANIA

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), akisalimiana na Mkurugenzi Mkuu wa Ecobank Tanzania, Bw. Charles Asiedu alipowasili katika kikao kilichoangazia ushirikiano kati ya Serikali na benki hiyo, jijini Dodoma. Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), akizungumza na Mkurugenzi Mkuu wa Ecobank Tanzania, Bw. Charles Asiedu, kuhusu ushirikiano kati ya…

Read More

Jezi mpya ya Arsenal msimu wa 2024/25 hii hapa

Arsenal wametoa jezi yao mpya ya nyumbani kwa msimu wa 2024/25 huku maandalizi ya kampeni mpya yakiendelea, hata kabla ya mwisho wa msimu huu. Jezi ya Adidas, ambayo inauzwa kwenye tovuti ya klabu hiyo, ni ya kitamaduni yenye rangi nyekundu na nyeupe, yenye mistari ya baharini begani. Inaangazia beji rahisi ya kanuni iliyopambwa kwenye kifua….

Read More

DKT. NCHEMBA AFANYA MAZUNGUMZO NA MKURUGENZI WA ECOBANK

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), akiagana na Mkurugenzi Mkuu wa Ecobank Tanzania, Bw. Charles Asiedu, baada ya kikao kilichoangazia ushirikiano kati ya Serikali na benki hiyo, jijini Dodoma. Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), akizungumza na Mkurugenzi Mkuu wa Ecobank Tanzania, Bw. Charles Asiedu, kuhusu ushirikiano kati ya…

Read More

Tanga Uwasa yafungua njia matumizi ya hatifungani

Dodoma. Serikali imezitaka taasisi zake kutumia utaratibu wa hatifungani kugharimia miradi ya maendeleo badala ya kutegemea bajeti pekee. Agizo hilo limetolewa baada ya Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Tanga (Tanga Uwasa) kuorodhesha hatifungani ya miundombinu ya maji na utunzaji wa mazingira Mkoa wa Tanga katika Soko la Hisa la Dar es Salaam. Uorodheshwaji…

Read More

Mkanganyiko wa takwimu, mauzo ya ufuta yakipaa

Dar es Salaam. Wakati bajeti ya Wizara ya Kilimo ya mwaka 2024/25, ikionyesha kuwa mauzo ya zao la ufuta yalifikia zaidi ya Sh1.25 trilioni kwa kipindi cha mwaka 2022/23, taarifa ya Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (Tantrade) inaonesha mauzo yalikuwa Sh715.6 bilioni kwa mwaka 2023. Licha ya kuwa takwimu hizo ni za vipindi tofauti…

Read More

Aliyeshtakiwa kwa kula, kulala Hoteli ya Serena bila kulipa afutiwa kesi

Dar es Salaam. Mahakama ya Mwanzo Kariakoo imemfutia kesi na kumwachia huru mfanyabiashara aliyeshtakiwa kwa kujipatia huduma ya chakula na malazi katika Hoteli ya Serena kwa njia ya udanganyifu. Mshtakiwa Denis Mfumbulwa (44) alidaiwa kujipatia huduma hizo zenye thamani ya Sh21.4 milioni bila kulipa, akijua kufanya hivyo ni kosa kisheria. Mfumbulwa amefutiwa kesi Mahakama ikieleza…

Read More