Serikali kuzihamisha kaya 1,712 KIA ifikapo Juni

Hai. Serikali imesema shughuli ya kuzihamisha kaya 1,712 za wilaya za Arumeru mkoani Arusha na Hai mkoani Kilimanjaro, zinazodaiwa kuvamia ardhi ya Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) itakamilika Juni 2024. Kaya zinazopaswa kuondoka katika upande wa wilaya ya Hai ni 1,061 zilizopo viijiji vya Tindigani, Mtakuja, Chemka na Sanya Station, huku upande…

Read More

UINGEREZA, HISPANIA, UFARANSA, NA ITALIA NGOMA NZITO LEO

LIGI takribani nne barani ulaya leo moto utawaka kwani inakwenda kupigwa michezo kadhaa ambayo itakua inaamua hatma ya timu mbalimbali katika kubaki ligi kuu, wengine kushiriki michuano ya ulaya kwa msimu ujao Kupitia michezo ambayo itarindima usiku wa leo mbali na kua michezo mikali lakini pia itakua inatoa nafasi kwa wateja wa kampuni bingwa kabisa…

Read More

VIDEO: Majibu ya Serikali kuingia Zanzibar kwa pasipoti

Dodoma. Waziri wa Mambo ya Ndani, Hamad Masauni amesema hakujawahi kuwa na hati ya kusafiria kutoka Zanzibar kwenda Dar es Salaam wala mkoa wowote bali kilichokuwepo ni hati maalumu. Masauni amesema hayo akijibu hoja ya mbunge wa Konde, Mohamed Said Issa ambaye alitaka utaratibu wa kutumia hati ya kusafiria kwa mtu anayeingia Zanzibar urejeshwe. Akijibu…

Read More

TANZANIA NA UFARANSA KUIMARISHA DIPLOMASIA YA UCHUMI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. January Makamba amekutana kwa mazungumzo na Waziri wa Biashara, Uchumi, Nchi zinazozungumza Kifaransa na Wafaransa waishio nje ya nchi, Mhe. Frank Reister katika ofisi za Wizara jijini Paris, Ufaransa tarehe 15 Mei, 2024. Mawaziri hao wamejadili kuhusu namna bora ya kuimarisha ushirikiano kwenye masuala…

Read More

HATIFUNGANI YA KIJANI YA MAMLAKA YA MAJI TANGA YAFANIKIWA KUKUSANYA 103% YA MAUZO YALIYOTARAJIWA.

Hatifungani ya kijani ya Mamlaka ya Maji Tanga ambayo ni ya Kwanza kuwahi kutokea Afrika Mashariki imefanikiwa kukusanya asilimia 103% ya mauzo yaliyotarajiwa. Hatifungani hiyo yenye thamani ya shilingi Bilioni 53.12 ilianza kuuzwa tarehe 22, Februari 2024 na kufanikiwa kuorodheshwa kwenye soko la hisa Dar es salaam (DSE) leo tarehe 15 Mei,2024 Hatifungani hiyo yenye…

Read More

Katekista ajiua kwa kunywa sumu baada ya mawazo yaliyotokana na mfadhili wake kufariki

Anthony Mgaya (50) aliyekuwa Katekista wa Kigango cha Moronga kata ya Kipengere wilayani Wanging’ombe amefariki dunia akidaiwa kunywa sumu kutokana na msongo wa mawazo wa muda mrefu uliotokana na kifo cha mfadhili wake ambaye alikuwa wilayani humo aliyefariki takribani miaka miwili iliyopita. Kamanda wa Polisi mkoa wa Njombe Mahamoud Banga amethibitisha kutokea kwa tukio hilo…

Read More