DC KASILDA AKERWA NA RUWASA SAME KUTOSHIRIKISHA JAMII KATIKA MIRADI YAKE.

NA WILLIUM PAUL, SAME. MKUU wa Wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro Kasilda Mgeni ameeleza kusikitishwa na kitendo cha Wakala wa maji safi na usafi wa Mazingira vijijini (RUWASA) wilayani humo kushindwa kushirikisha jamii husika kwenye maeneo mbalimbali ambako kunatekelezwa miradi ya maji hali inayopelekea kutokea malalamiko kutokana na kutoelewa nini kinaendelea. Kasilda ameeleza hayo baada…

Read More

Zelensky asema jeshi lake liko katika vita ‘vikali’ mpakani – DW – 13.05.2024

Vita hivyo vikali vinatokana na mashambulizi ya vikosi vya Urusi vinavyojaribu kusonga mbele katika vijiji vya mpaka wa jimbo la Kharkiv.  Mashambulizi mapya ya Urusi Kaskazini mashariki mwa jimbo la Kharkiv, pamoja na msukumo wake unaoendelea katika mkoa wa mashariki Donetsk, vinajiri baada ya miezi kadhaa, kabla ya kutopiga hatua yoyote kwenye uwanja wa mapambano wa…

Read More

Bei ya ufuta yafurahisha wakulima

Mtwara. Baada ya ufuta kuuzwa kwa Sh4,000 katika mikoa ya Lindi na Mtwara msimu uliopita Mkoa wa Songwe umeweka rekodi kwa kuuza zao hilo kwa Sh4,500 kwa kilo msimu huu hali ambayo inaongeza matumaini kwa wakulima.  Akizungumza na Mwananchi  Digital, Mratibu wa programu ya ufuta kitaifa kutoka Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (Tari) Kituo…

Read More

Chungu na tamu ongezeko la maji Ziwa Victoria, Tanganyika

Mwanza/Muleba. Athari za ongezeko la maji Ziwa Victoria na Tanganyika zinazidi kuonekana kila kukicha. Hii ni baada ya wavuvi zaidi ya 100,000 mkoani Kigoma kudaiwa kuathirika na ongezeko hilo huku kaya 214 za Muleba Mkoa wa Kagera zikikosa vyoo. Pia gharama za kupakia na kushusha mizigo katika soko la kimataifa la samaki mwalo wa Kirumba jijini…

Read More

THRDC yapaza sauti changamoto ya intaneti

MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), umeitaka Serikali kupitia Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), kufanya jitihada za kutafuta njia mbadala ya kurejesha mtandao (intaneti) katika hali yake ya kawaida, kwani kukosekana kwake ni ukiukwaji wa haki za binadamu. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam…(endelea). Wito huo umetolewa leo Jumatatu na Mratibu wa…

Read More