Sh102 bilioni fidia kwa watakopisha mradi mwendokasi

Dar es Salaam. Serikali ya Tanzania imeidhinisha Sh102 bilioni ili kulipa fidia kwa wakazi wa Dar es Salaam ambao watalazimika kupisha ujenzi wa mradi waawamu ya  nne na tano wa Mabasi Yaendayo Haraka (BRT). Hatua hiyo si tu upanuzi wa mradi ili kuboresha usafiri wa umma pekee bali unathibitisha kutambuliwa kwa umuhimu wa kuunga mkono…

Read More

MBUNGE ABOOD AKABIDHI MADAWATI YENYE THAMANI YA ZAIDI YA TSH, MIL. 28 KATIKA SHULE YA SEKONDARI YA MAZIMBU MKOANI MOROGORO.

Madawati yenye thamani ya zaidi ya Tsh. Mil. 28 yamekabidhiwa katika Shule ya Sekondari ya Mazimbu Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro Mjini kama sehemu ya utekelezaji wa ahadi ya Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini Mhe, Dkt. Abdulaziz M. Abood kufuatia ziara yake ya kutembelea na kukagua maendeleo ya Shule mpya zilizojengwa katika Halmashauri hiyo…

Read More

WANANCHI WAAHIDI KUSHIRIKIANA NA SERIKALI KUPAMBANA NA CHANGAMOTO YA WANYAMAPORI WAKALI NA WAHARIBIFU – MWANAHARAKATI MZALENDO

-Waipongeza TAWA kwa ushirikishaji   Na. Beatus Maganja   Kufuatia changamoto ya wanyamapori wakali na waharibifu nchini, wananchi wa Mikoa ya Kanda ya Ziwa hususani Shinyanga na Mwanza wamekubali na kuahidi kushirikiana na Serikali kukabiliana changamoto hiyo ili kupunguza adha kwa wananchi hasa wale wanaoishi pembezoni mwa hifadhi.   Wakizungumza na waandishi wa habari katika…

Read More

Dk Mpango awataka viongozi wa dini kutetea ukweli bila woga

Dodoma.Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango  amewataka viongozi wa dini, kuishi wito wao wa kinabii, kusema na kuutetea ukweli kwa ajili ya maslahi ya wananchi hasa wanyonge na wafanye hivyo kwa uhuru bila woga.  Ameyasema haya leo Jumapili Mei 12, 2024, jijini Dodoma  kwenye Misa Takatifu ya kuwekwa wakfu kwa Askofu Msaidizi Wilbroad Kibozi iliyofanyika Kituo…

Read More

Aliyepandikizwa figo ya nguruwe afariki dunia

Massachusetts. Richard Slayman kutoka Massachusetts aliyepandikizwa figo ya Nguruwe amefariki dunia hii leo Jumapili Mei 12, 2024. Kwa mujibu wa BBC Slayman (62) ambaye ni mtu wa kwanza kupandikizwa figo ya mnyama huyo iliyobadilishwa vinasaba amefariki ikiwa ni miezi miwili baada ya kufanyiwa upasuaji huo mnamo Machi 16, 2024. Slayman aliruhusiwa Aprili 4, 2024 baada…

Read More