‘Jengeni kwa chuma kulinda mazingira’
Unguja. Wakati sekta ya ujenzi ikitajwa kuwa miongoni mwa zinazochangia kwa kiasi kikubwa kuharibu mazingira, wahandisi wameshauriwa kujifunza matumizi ya teknolojia ya chuma ambayo ni rahisi na rafiki kwa mazingira. Pia, wataalamu hao wametakiwa kuzingatia maeneo ya urithi wa dunia wanapoendesha shughuli zao ili yaendelee kuwa katika sura ileile. Hayo yalibainika jana, wakati wa mkutano…