Dk. Ndumbaro atuma ujumbe  mzito TEFA ikizindua ofisi

Na Winfrida Mtoi, Mtanzania Digital Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Damas Ndumbaro, amekitaka Chama Cha Soka Wilaya ya Temeke(TEFA), kulinda na kuendeleza  heshima ya kimpira  wilayani humo kwa kuepuka migogoro. Dk. Ndumbaro alipiga simu wakati  hafla ya uzinduzi wa ofisi za chama hicho uliofanyika  leo Mei 10, 2024 kwenye Uwanja wa TEFA, Tandika,…

Read More

ZFDA yapiga marufuku maziwa ya Infacare kuuzwa Zanzibar

Unguja. Wakala wa Chakula, Dawa na Vipodozi Zanzibar (ZFDA) imepiga marufuku uingizwaji, uuzwaji na usambazaji wa maziwa ya kopo aina ya Infacare kutokana na kuwepo maandishi kwenye bidhaa, yanayokataza kuuzwa nchini hiyo.  Kaimu Mkurugenzi Idara ya Udhibiti Usalama wa Chakula, Khadija Ali Sheha amesema hayo jana kwamba hatua hiyo inalenga kulinda afya za watoto na…

Read More

RAIS WA ZANZIBAR AZUNGUMZA NA UJUMBE WA KANISA LA ANGLIKANA UKIONGOZWA NA ASKOFU MKUU MHASHAMU JUSTIN WELBY

MAASKOFU wa Kanisa la Anglikana wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) wakati wa mazungumzo yao yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 11-5-2024, wakiwa Zanzibar kwa ajili ya Ibada ya Maridhiano kutokana na madhila waliyofanyiwa Waafrika wakati wa Biashara ya Utumwa inayotarajiwa kufanyika kesho 12-5-2024…

Read More

Askari Kinapa, mgambo matatani wakituhumiwa kwa mauaji

Moshi. Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, linawashikilia askari wawili wa Hifadhi ya Taifa ya Mlima Kilimanjaro (Kinapa) na mgambo kwa tuhuma za kumuua kwa risasi kijana Octovania Temba. Temba ni mkazi wa Kijiji cha Komela kilichopo Kata ya Marangu Magharibi, wilayani Moshi, Mkoa wa Kilimanjaro. Wakazi wa Kijiji cha Komela kilichopo Kata ya Marangu Magharibi, wilayani…

Read More

Trafiki kuvishwa majaketi yenye kamera kudhibiti rushwa

Dodoma. Serikali imesema iko kwenye mchakato wa kutumia majeketi yenye kamera watakayovaa askari wa usalama barabarani ‘trafiki’ kama sehemu ya kifaa cha kazi kwa lengo la kudhibiti rushwa barabarani. Hayo yamesema leo Jumamosi Mei 5, 2024 na Makamu wa Rais Dk Philip Mpango wakati akifungua Kituo cha Polisi Daraja A Wilaya ya Kipolisi Mtumba jijini…

Read More

Palestina mwanachama wa 194 wa UN

Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa jana Ijumaa limepitisha kwa wingi kura za azimio linalounga mkono Palestina kuwa mwanachama kamili wa umoja huo. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa… (endelea). Azimio hilo limeitambua Palestina kuwa na hadhi ya kupata uanachama kamili na linatoa mwito kwa Baraza la  Usalama la Umoja wa Mataifa kuunga mkono azma ya Palestina…

Read More

WAZIRI MKUU ASHIRIKI MBIO ZA MBEYA TULIA MARATHON 2024

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Mei 11, 2024 ameshiriki katika tukio la mbio za Mbeya Tulia Marathoni 2024 zilizoandaliwa na Taasisi Isiyo ya Kiserikali ya Tulia Trust. Mbio hizo zilianzia na kuishia kwenye uwanja wa Sokoine jijini Mbeya Mei 11, 2024. Baadhi ya viongozi walioshiriki mbio hizo ni Mke wa Waziri Mkuu Mary Majaliwa, Spika…

Read More