Tanzania Top Rekodi:Rostam ameweka alama kubwa nchini

UONGOZI wa Tanzania Top Record (TTR), umebainisha kuwa wamejipanga kutembea kilometa moja peku ikiwa ni ishara ya kuenzi viongozi na watu mbalimbali ambao wamepambania taifa na kuacha alama hapa nchini. Hayo yamebainishwa leo jijini Dar es Salaam na Mkurugenzi Mtendaji wa TTR, Rahimu Idd, wakati wakijitambulisha kwa Waandshi wa Habari na kufafanua kuwa watakuwa wakishughulika…

Read More

Sitta ang’ang’ana wanafunzi watibiwe bure, Serikali yagoma

MBUNGE wa Urambo, Margaret Sitta, ameishauri Serikali iweke utaratibu wanafunzi wapatiwe huduma za afya bure kama inavyotoa huduma za elimu bure kuanzia shule ya msingi hadi kidato cha sita. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea). Sitta ametoa ushauri huo leo Ijumaa, bungeni jijini Dodoma, akiuliza swali la Mbunge wa Sikonge, Joseph Kakunda, aliyehoji Serikali haioni…

Read More

Deby ashinda uchaguzi mkuu – DW – 10.05.2024

Tuelekee huko nchini Chad ambapo kiongozi wa kijeshi nchini humo Mahamat Idriss Deby Itno ametangazwa mshindi wa uchaguzi wa rais uliofanyika Mei 6, lakini mpinzani wake mkuu anayapinga matokeo hayo yaliyotangazwa na tume ya uchaguzi. Ushindi huo wa Deby utarefusha utawala wa familia yake ambayo imekuwepo madarakani kwa miongo kadhaa sasa.  Soma zaidi. Idriss Deby Itno atangazwa…

Read More

‘Acheni dhana potofu kuhusu tohara’

Musoma. Wakazi wa Mkoa wa Mara wametakiwa kuachana na dhana kuwa mtoto wa kiume akifanyiwa tohara katika umri mdogo uume wake utakuwa mdogo, badala yake wafanye tohara mapema ili kujiepusha na magonjwa vikiwamo Virusi vya Ukimwi (VVU). Wito huo umetolewa mjini hapa leo Ijumaa Mei 10, 2024 na Mratibu wa Upimaji wa VVU na Huduma…

Read More

UTARATIBU WA BIMA YA AFYA NI KUCHANGIANA SIO MSAADA

Serikali kupitia Wizara ya Afya imesema kuanza kutekelezwa kwa Bima ya Afya kwa wote itakuwa suluhisho la kudumu la kurahisisha upatikanaji wa huduma za Afya kwa makundi yote nchini ikiwemo wanafunzi Kauli hiyo imebainishwa na Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Godwin Mollel leo Jijini Dodoma wakati akijibu swali Namba 305 kutoka kwa Mbunge wa Sikonge,…

Read More

Wachimbaji waendelea kuiangukia Serikali mbadala wa zebaki

Butiama. Wachimbaji wadogo wa dhahabu katika mgodi wa dhahabu wa Buhemba wilayani hapa,  wameiomba Serikali kuwaletea njia mbadala ili kuondokana na matumizi ya zebaki katika uchimbaji wao. Wachimbaji hao wamesema kwa muda mrefu Serikali imekuwa ikieleza juu ya uwepo wa madhara ya kiafya ya moja kwa moja kwa watumiaji wa zebaki pamoja na mazingira, lakini…

Read More