Wanachopaswa kufanya maofisa Tehama taasisi za Serikali

Dar es Salaam. Wakati Tanzania ikijizatiti katika matumizi ya teknolojia, ikiwamo kwenye uhifadhi wa taarifa muhimu, wadau wameshauri taasisi zinazotumia mifumo ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliani (Tehama) kuongeza ufanisi zaidi. Serikali tayari imeanzisha Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi katika matumizi ya mfumo wa Tehama na imeandaa mwongozo wa matumizi bora, sahihi na salama…

Read More

MALIPO YA WATOA HUDUMA HUZINGATIA MIKATABA YA ZABUNI

 Na. Peter Haule, WF, Dodoma Serikali imesema kuwa ulipaji wa madai yanayotokana na kupokelewa kwa bidhaa au huduma huzingatia masharti ya mikataba ya zabuni au kandarasi iliyoingiwa kati ya Serikali na mtoa huduma. Hayo yameelezwa bungeni jijini Dodoma na Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba(Mb) alipokuwa akijibu swali la Mbunge wa Temeke Mhe….

Read More

Wapalestina waukimbia mji wa Rafah – DW – 08.05.2024

Licha ya mayowe kutoka kwa jamii ya kimataifa kupinga mashambulio hayo ya ardhini, Israel ilipeleka vifaru vyake katika mji wa Rafah hapo jana Jumanne na wanajeshi wake wakakiteka kivuko kinachounganisha mji wa Rafah na Misri ambacho ni njia kuu ya kupitishia misaada kwenda katika eneo lililozingirwa la Palestina. Soma Pia: Guterres asema kushambulia Rafah itakuwa janga…

Read More

80% ya Watanzania kutumia nishati Safi

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko amesema malengo ya Serikali ni kuwa ifikapo mwaka 2034 asilimia 80 ya watanzania wawe wanatumia nishati safi ya kupikia. Dkt. Biteko amesema hayo mkoani Dar es Salaam wakati wa hafla ya uzinduzi wa Mkakati wa Matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia 2024 – 2034. Amesema…

Read More

Kengold wakabidhiwa kombe NBC Championship

Mdhamini mkuu wa Ligi Daraja la Kwanza (NBC Championship) Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imekabidhi kombe la ubingwa wa ligi hiyo kwa timu ya Kengold yenye maskani yake Wilayani Chunya, mkoani Mbeya ambayo ndiyo bingwa wa ligi hiyo kwa msimu wa 2023/2024. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Hatua hiyo inatoa ruhusa kwa mabingwa hao…

Read More