Mradi wa Africa Bridge Kusaidia Watoto Wanaoishi Kwenye Mazingira Magumu Nchini
Mwandishi wa kitabu cha “And the Children Shall Lead Us” Barry Childs (katikati) akionyesha nakala ya kitabu hicho katika hafla ya uzinduzi iliyofanyika jijini Dar e salaam hivi karibuni,wengine kwenye picha kushoto ni Mratibu wa mradi wa Africa Bridge Kelvin Ngonyani kulia ni mwandishi mwenza wa kitabu hicho, Philip Whiteley. Na Mwandishi Wetu, Dar es…