Hidaya, kipindupindu, mafuriko vyatishia ukuaji wa maendeleo

Dar es Salaam. Unaweza kusema baadhi ya nchi za Afrika Mashariki zipo katikati ya majanga ya asili. Majanga hayo yametokana na mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali ya baadhi ya nchi za Afrika Mashariki ambazo  zimesababisha vifo, majeraha, upotevu wa mali, uharibifu wa miundombinu na mlipuko wa magonjwa. Hadi sasa Tanzania, Kenya, Rwanda, Burundi na…

Read More

TADB, BOT WAFUNGA MAFUNZO KWA WATAALAMU 52, KULETA TIJA KATIKA UTOAJI WA MIKOPO YA KILIMO

 Kaimu Mkurugenzi na Muendeshaji wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB), Dkt. Kanael Nnko (wa pili kutoka kulia) akiwakabidhi vyeti wahitimu wa mafunzo Yya wataalamu wa Taasisi za fedha zilizoshiriki. BENKI ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) kwa kushirikiana na Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kupitia BoT Academy leo Mei 03, 2024  imefunga mafunzo kwa wataalamu 52…

Read More

Ridhiwani awaonya  maofisa rasilimali watu awataka waache roho mbaya

Arusha.  Naibu Waziri Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete amewataka maofisa rasilimali watu na utawala bora kuacha roho mbaya wanapowahudumia wafanyakazi wenzao. Pia, amewaonya kuacha mara moja utaratibu wa kuzuia mishahara ya watumishi kiholela bila kufuata utaratibu wakilenga kuwakomoa. Ridhiwani ameyasema hayo leo Jumamosi Mei 4, 2024 alipokuwa…

Read More

Hapi awashukia wazazi malezi ya watoto

Iringa. Katibu Mkuu wa Wazazi Taifa, Ally Hapi amesema moja ya njia ya kupambana na tatizo la ubakaji na ulawiti kwa watoto ni kuwalinda na kutorihusu watembee usiku. Amesema baadhi ya wazazi na walezi wasiojali makuzi ya watoto kiasi cha kuwatuma maeneo tofauti usiku wakati wakijua wanawaweka katika hatari ya kufanyiwa vitendo vya ukatili muda…

Read More

Watu watano mbaroni wakidaiwa kuiba runinga 35

Dar es Salaaam. Wakati matukio ya kuvunja na kuiba vitu mbalimbali vya ndani yakiripotiwa, Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam linamshikilia Esahu Francis (27) mkazi wa Makumbusho na wenzake wanne kwa kukutwa na runinga 35 za wizi. Mbali na matukio hayo pia Jeshi hilo linamshikilia Javan Changing (36) raia wa Kenya na…

Read More

Michoro ya kale Kondoa kuvuta watalii

Dodoma. Maadhimisho ya Siku ya Urithi wa Dunia kwa Afrika kesho Mei 5, 2024 kuwaleta watalii wa ndani na  nje kwenye michoro ya mapangoni iliyopo Kijiji cha Kolo, Kondoa Irangi mkoani hapa. Michoro hiyo ambayo ni Urithi wa Utamaduni na Malikale imetangazwa na Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (Unesco) kuwa moja…

Read More