PICHA

Na.Alex Sonna-KIGOMA Zaidi ya wananchi 300,000 wamenufaika na mbegu za kisasa za mchikichi zinazozalishwa na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) katika Kikosi cha 821 Bulombora mkoani Kigoma. Mwenyekiti  wa Kamati ya Kimkakati ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Brigedia Jenerali Hassan Mabena  ameyasema hayo  wakati wa ziara yake ya kukagua…

Read More

Wabunge wataka hatua za ziada kudhibiti tembo

Dodoma. Wabunge wametaka mikakati ya ziada kukabiliana na tembo wanaovamia maeneo ya makazi, ikiwamo kuwavuna wanyama hao. Hatua hiyo ilitokana na maelekezo yaliyotolewa na Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson baada ya mbunge wa Mbarali, Bahati Ndingo kutoa hoja bungeni kuhusu wanyama hao Aprili 30, 2024. Mbunge huyo amesema tembo waliingia katika makazi ya watu…

Read More

Licha ya ongezeko la fedha, mambo bado Wizara ya Kilimo

Dodoma. Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo, imesema pamoja na Serikali kuendelea kuongeza bajeti ya kilimo, bado haikidhi mahitaji halisi ya sekta hiyo kwa kuzingatia matakwa ya utekelezaji wa Azimio la Maputo (2003) na Malabo (2014) linalozitaka nchi wanachama kutenga asilimia 10 ya bajeti ya Taifa kwa ajili ya sekta…

Read More

200 wapimwa afya na GGML katika maonesho ya OSHA

Na Mwandishi Wetu, Arusha ZAIDI ya watu 200 jijini Arusha wamejitokeza kupimwa afya na Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) na kati yao kubainika kuwa wana tatizo la uzito uliopitiliza. Pia kati ya watu hao hakuna aliyebainika kuwa na maambukizi ya Virusi Vya Ukimwi (VVU), lakini mmoja amekutwa na dalili zote za kifua kifuu…

Read More

BALOZI MBAROUK AFUNGUA MKUTANO WA NNE WA BARAZA LA WAFANYAKAZI LA WIZARA

NaibuWaziri wa Mambo na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi MbaroukNassor Mbarouk (Mb) akifungua Mkutano wa Nne wa Baraza la Wafanyakazi laWizara lililofanyika katika Ukumbi wa Kituo cha Mikutano cha Kimataifacha Arusha (AICC) tarehe 02 Mei, 2024 ……………… Naibu Waziri Mambo ya Nje naUshirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk amefungua Mkutanowa Nne wa Baraza…

Read More