WATAALAMU WALIOSOMA JAPAN WACHOCHEA MIRADI YA MAENDELEO NCHINI

 :::::::: Wataalamu wa Kitanzania waliopata mafunzo nchini Japan wameelezwa kuwa rasilimali muhimu katika kuharakisha maendeleo ya sekta mbalimbali kwa kutumia ujuzi na teknolojia walizojifunza nje ya nchi. Akizungumza katika mkutano uliofanyika jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi Msaidizi wa Ofisi ya Rais – Utumishi, Fadhili Mitimingi, amesema ushirikiano kati ya Serikali ya Tanzania na Japan International…

Read More

Manyara watakiwa kuchukua tahadhari ya uviko – 19

Babati. Wananchi wa Mkoa wa Manyara wametakiwa kuendelea kuchukua tahadhari dhidi ya magonjwa ya maambukizi ya mfumo wa upumuaji, ukiwemo Uviko-19, licha ya kutokuwapo kwa kisa chochote kilichoripotiwa kwa sasa mkoani humo. Wito huo umetolewa leo Ijumaa, Machi 6, 2026 mjini Babati na Mganga Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Dk Andrew Method wakati akizungumza na…

Read More

Mjadala wa ubora wa wahitimu wawekwa mezani

Dar es Salaam. Wakati mjadala kuhusu ubora wa wahitimu wanaozalishwa na vyuo vikuu nchini ukiendelea kushika kasi, Serikali imeitaka Bodi mpya ya Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) kuimarisha usimamizi na mifumo ya uthibiti wa ubora wa elimu ya juu ili kuendana na mahitaji ya soko la ajira. Kauli hiyo imetolewa leo Machi 6, 2026,…

Read More

Serengeti kujengwa madaraja makubwa matano kudhibiti mafuriko

Serengeti. Serikali imepanga kujenga madaraja makubwa matano katika maeneo korofi ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Serengeti, ikiwa ni hatua ya kudhibiti athari za mvua kubwa zinazoendelea kunyesha na kuharibu miundombinu ya barabara na vivuko. Mbali na madaraja hayo makubwa, pia yanatarajiwa kujengwa madaraja madogo matano katika maeneo mengine yenye changamoto, hatua inayolenga kupunguza usumbufu…

Read More

Chakula silaha ya siri dhidi ya maradhi

Dar es Salaam.​ Katika karne ya 21, ambapo kasi ya maisha imekuwa kubwa na magonjwa yasiyoambukiza kama kisukari, shinikizo la juu la damu, na saratani yakishika kasi, jamii inapaswa  kuamka na kuchukua hatua stahiki. Leo  hospitali zimefurika, na gharama za matibabu zinazidi kupanda kila kukicha, jambo linalowafanya wataalamu wa afya na lishe kutoa wito wa…

Read More

LIVE: The Citizen Rising Woman 2026

Dar es Salaam. Wadau wakiwamo wanawake zaidi ya 400 kutoka sekta mbalimbali nchini, wakishiriki Jukwaa la Sita la The Citizen Rising Woman Initiative (RWI) linalofanyika muda huu katika Ukumbi wa Super Dome, Masaki jijini Dar es Salaam. LIVE: The Citizen Rising Woman 2026 Jukwaa hili…

Read More

RC Mara ashusha zigo la elimu ya udumavu kwa wahudumu wa afya

Musoma. Wakurugenzi wa halmashauri tisa za wilaya mkoani Mara, wametakiwa kutenga bajeti ya kuwezesha angalau wahudumu wawili wa afya ngazi ya jamii katika kila kijiji na mtaa, hatua inayolenga kuimarisha utoaji wa elimu ya afya na lishe bora kwa wananchi. Pia, wametakiwa kuhakikisha maadhimisho ya Siku ya Afya na Lishe Vijijini yanafanyika katika vijiji vyote,…

Read More

Rais Mhe. Dkt. Samia awasili Mkoani Arusha kwa ajili ya kushiriki katika Mkutano wa Wakuu wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC).

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Mhe. Nurdin Babu pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. CPA. Amos Makalla mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA), tarehe 06 Machi, 2026. Rais Mhe. Dkt. Samia amewasili…

Read More

Wawekezaji wanawake soko la hisa bado kiduchu

Dar es Salaam. Wakati zaidi ya Watanzania 800,000 wakiwa wamewekeza katika Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE), imeelezwa kuwa wanawake ni asilimia 35 ya wawekezaji katika soko hilo mpaka sasa. Hayo yameelezwa leo, Ijumaa Machi 6, 2026 na Ofisa Mtendaji Mkuu wa DSE, Peter Nalitolela, wakati wa hafla ya upigaji kengele maalumu inayolenga…

Read More