BOTI YA MV BULOMBORA YAZINDULIWA BAADA YA MIAKA 20,YAKARABATIWA NA KIKOSI CHA 821 KJ YAWA YA KISASA

  MUONEKANO wa Boti ya MV Bulombora iliyozinduliwa na Mwenyekiti wa Kamati ya Kimkakati ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Brigedia Jenerali Hassan Mabena, baada ya kufanyiwa matengenezo makubwa na kikosi cha 821 KJ Bulombora hafla iliyofanyika katika bandari ya Kigoma Mjini. Na Alex Sonna-KIGOMA MWENYEKITI wa Kamati ya Kimkakati…

Read More

MRADI WA USEMINI KUSAIDIA UTUNZAJI WA MAZINGIRA MOROGORO

Licha ya serikali na wadau wa mazingira kuendelea kutoa elimu ya utunzaji na uvunaji halali wa Mazao ha misitu bado baadhi ya watu wamekua wakiendelea kufanya Uharibifu Kwa kukata miti hovyo ambapo Takwimu zinazonyesha zaidi ya hekta Laki nne za misitu huaribiwa nchini kila.mwaka Kutoka na Changamoto hiyo Serikali ya Mkoa wa Morogoro kwa kushirikiana…

Read More

Makonda awapa ‘Wadudu’ kibarua cha ulinzi Arusha

Arusha. Unaweza kusema umetumika ule usemi wa wahenga wa ‘Mchawi mpe mwana alee’, baada ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda kuwapa  kibarua cha ulinzi vijana wa Arusha maarufu kama ‘Wadudu’. Vijana hao wamekuwa maarufu kutokana na kuogopeka na wakazi wa Arusha kwa madai kuwa ni vibaka na wezi kwa kutumia vitu vyenye ncha…

Read More

TVA yatoa chanjo kwa wanyama

CHAMA cha Madaktari wa Wanyama (TVA) kimefanikiwa kutoa chanjo kwa wanyama mbalimbali dhidi ya magonjwa ya sotoka na kichaa cha mbwa sambamba na kufanya uchunguzi na matibabu kwa wanyama. Hatua hiyo ni kuelekea maadhimisho ya Siku ya Madaktari wa Wanyama duniani, Katibu wa chama hicho Kanda ya Nyanda za Juu Kusini na Meneja wa Kituo…

Read More

Blinken ziarani Israel kutafutia suluhu vita vya Gaza – DW – 01.05.2024

Blinken amekutana kwa mazungumzo na viongozi wa Israel na kusema “wakati ni sasa” wa kufikiwa makubaliano ya kusitisha mapigano katika vita Gaza, huku akilitupia lawama kundi la Hamas kwa kucheleshwa kwa makubaliano hayo: ” Tumedhamiria kufikiwa kwa makubaliano ya usitishaji mapigano ambayo yatawarejesha nyumbani mateka. Tunatakiwa kufikia mpango huo sasa. Na sababu pekee ambayo hilo…

Read More

JKT yafufua boti iliyoharibika miaka 20 iliyopita

Kigoma. Baada ya kusimama kufanya kazi kwa miaka 20 kutokana na uchakavu, Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) limefufua boti ya MV Bulombora ambayo mbali ya shughuli za uvuvi, kusafirisha watu, itatumika katika shughuli za ulinzi kwenye Ziwa Tanganyika. Boti hiyo inayofanya kazi chini ya Kikosi cha JKT 821 cha Bulombora ina uwezo wa kubeba abiria…

Read More