Wanamichezo Mei Mosi wachangia wahitaji vitu vya mil. 11.5

Wanamichezo wanaoshiriki Michezo ya Mei Mosi Taifa 2024 jijini Arusha wamefanya matendo ya huruma kwa kutoa fedha na vitu mbalimbali vyenye thamani ya Sh. 11,557,000/= ambavyo vimekabidhiwa kwa vituo vinne vyenye uhitaji maalum. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Hayo yamebainishwa na Mwenyekiti wa Michezo ya Mei Mosi Taifa, Roselyne Massam Aprili 30, 2024 jijini Arusha…

Read More

Kamati kuu ya Chadema kukutana Mei 4

Dar es Salaam. Vigogo wa Chadema wanatarajia kujifungia katika kikao cha kamati kuu kinachotarajiwa kufanyika Mei 4 kikiwa na ajenda mbalimbali ikiwamo ya uchaguzi wa ndani wa chama hicho. Ajenda nyingine zitakazojadiliwa na vigogo hao ni tathimini ya wiki wa maandamano ya amani yaliyoingia siku ya saba leo, yenye lengo la kufikisha kilio cha wananchi…

Read More

MAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR AFANYA ZIARA KATIKA HOSPITAL YA WILAYA NA MNAZI MMOJA

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Hemed Suleiman Abdulla akipokea maelezo kutoka kwa mfanyakazi wa Hospital ya Wilaya wa Magharini “B” Mwanakwerekwe Ijitimai wakati alipofanya ziara ya  kutetembelea na kukagua utowaji wa huduma katika hospitali hio. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Hemed Suleiman Abdulla akisalimiana na wagonjwa waliolazwa katika wodi ya mifupa…

Read More

META KUTIA SAINI MAKUBALIANO YA UKODISHAJI NA UUZAJI WA VIFAA VYA UCHIMBAJI KWA WACHIMBAJI WADOGO WA MADINI

Na Janeth Raphael -MichuziTv -Dodoma Mwakilishi kutoka Kampuni ya META Issa Mndeme amesema wapo katika hatua ya utiaji saini ya makubaliano ya ukodishaji na uuzaji vifaa vya uchimbaji kwa wachimbaji wadogo ili kuwasaidia kuepukana na changamoto mbalimbali ambazo wamekuwa wakikumbana nazo kwenye uchimbaji. Mndeme ameyamesema hayo Jijini Dodoma kwenye mkutano wa kamati tendaji na Halmashauri…

Read More

LSF, Stanbic Tanzania kutekeleza miradi ya maendeleo

Dar es Salaam. Taasisi isiyo ya kiserikali ya The Legal Services Facility (LSF), kwa kushirikiana na Benki ya Stanbic Tanzania, zimesaini makubaliano ya ushirikiano wa kutekeleza miradi ya maendeleo yenye lengo la kuwainua wanawake na wasichana kiuchumi, kielimu na kiafya. Mkataba huo wa miaka miwili unalenga kuweka juhudi na rasilimali za pamoja kati ya taasisi…

Read More

Taharuki yaibuka Hanang mafuriko mengine yakitokea

Hanang. Wakazi wa Kijiji cha Gocho kilichopo Wilaya ya Hanang mkoani Manyara, wamekumbwa na taharuki baada ya Mlima Hanang kumeguka na kusababisha mafuriko na kuharibu mazao na makazi ya watu. Wakizungumza na waandishi wa habari leo Aprili 30, 2024, wamesema tukio hilo limetokea jana Aprili 29, 2024 usiku kwenye kijiji hicho. Mmoja wa wakazi wa…

Read More

MAADHIMISHO YA MIAKA 50 YA JARIDA LA THE AFRICAN REVIEW

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV WASOMI wametakiwa kuchukua jukumu na kuendeleza tafiti ambazo zitachapishwa katika kanzi data za kimataifa kwa lengo la kutatua changamoto zinazoikabili jamii na kuufikia Ulimwengu mzima ili kuendana na mabadiliko ya Sayansi na Teknolojia. Ameyasema hayo leo Aprili 30,2024 Jijini Dar es Salaam, aliyekuwa Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Cha Dar…

Read More