Wafanyakazi Manyara walia na kikotoo, mshahara mdogo.

Na John Walter -Manyara Wafanyakazi wameiomba serikali kushughulikia changamoto waliyonayo kwa muda mrefu juu ya kikokotoo cha mafao pindi wanapostaafu. Akizungumza katika maadhimisho ya Meimosi yaliyoandaliwa na shirikisho la vyama la Wafanyakazi (TUCTA) mkoa wa Manyara yaliyofanyika April 29,2024 uwanja wa Tanzanite Kwaraa mjini Babati , Katibu wa TUICO mkoa wa Manyara Juma Makanyaga amesema…

Read More

Wakazi Ileje waiangukia Serikali mradi wa maji ukamilike

Songwe. Wakazi wa miji ya Itumba na Isongole wilayani Ileje Mkoa wa Songwe wameiomba Serikali kuharakisha ujezi wa mradi wa maji unaojengwa kwa gharama ya Sh 4.9 bilioni ili kutatua changamoto ya huduma hiyo. Kukamilika kwa mradi huo kutawanufaisha wananchi takribani 20,000 wa eneo hilo. Wananchi wametoa maombi hayo kwa Mkuu wa Mkoa wa Songwe,…

Read More

‘Mbinu upelelezi kesi za majangili ziimarishwe’

Lushoto. Jaji wa Mahakama ya Rufani,  Dk Paul Kihwelo amehimiza kuimarishwa kwa mbinu za upelelezi wa mashauri ya uhalifu dhidi ya wanyamapori na misitu ili kupata ushahidi utakaowezesha haki itendeke kwa wenye hatia. Jaji Kihwelo ambaye pia ni Mkuu wa Chuo cha Uongozi wa Mahakama Lushoto (IJA) mkoani Tanga, amesema hayo jana Aprili 29, 2024…

Read More

BODA BODA CHANGAMKIENI ASILIMIA 10 YA MKOPO

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu amewahimiza Vijana wanaojishughulisha na Usafirishaji (Boda Boda) kuchangamkia asilimia 10 ya mikopo inayotolewa na Halmashauri zote nchini ili kuongeza tija na uzalishaji katika kazi zao. Mhe Ndejembi ametoa wito huo jijini Arusha wakati akihitimisha Mafunzo ya Usalama na Afya Mahali pa…

Read More

Kupima udhibiti wa mtandao ukitumia zana za OONI

Takribani kila nchi ulimwenguni inakumbana na baadhi ya visa vya udhibiti wa mtandao kinachotofautisha nchi dhidi ya nchi nyingine ni tovuti na viunzi gani vimefungwa, na athari ya kufungwa huko. Wakati wa kura na maandamano ulimwenguni, serikali kila mara uagiza kufungwa kwa mitandao ya kijamii inayotumika sana kama vile WhatsApp,X na Facebook . Katika nchi…

Read More