ALAT yawanyooshea kidole wabunge kwakutotetea maslahi ya madiwani
*Yataka uchaguzi wa madiwani utenganishwe ili wabunge waone ilivyo ngumu kupata kura Na Safina Sarwatt, Zanzibar BAADHI ya Wajumbe wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT) wamewatupia lawama wabunge kwa kile kilichodaiwa kushindwa kuwatetea madiwani kuongezewa posho kutokana na mazingira magumu ya kazi na kupanda kwa gharama za maisha. Wajumbe hao wametaka kufabyika marekebisho…