ALAT yawanyooshea kidole wabunge kwakutotetea maslahi ya madiwani

*Yataka uchaguzi wa madiwani utenganishwe ili wabunge waone ilivyo ngumu kupata kura Na Safina Sarwatt, Zanzibar BAADHI ya Wajumbe wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT) wamewatupia lawama wabunge kwa kile kilichodaiwa kushindwa kuwatetea madiwani kuongezewa posho kutokana na mazingira magumu ya kazi na kupanda kwa gharama za maisha. Wajumbe hao wametaka kufabyika marekebisho…

Read More

Mwanahabari Kabendera aituhumu Vodacom kufanikisha ‘kutekwa’ kwake

Dar es Salaam. Mwanahabari Erick Kabendera ameibua tuhuma nzito dhidi ya kampuni ya huduma za mawasiliano ya simu za mkononi, Vodacom, akiituhumu kuwa ndio iliyofanikisha kukamatwa kwake na askari Polisi, tukio analoliita kutekwa, na kisha kufunguliwa kesi ya uhujumu uchumi, mwaka 2019. Kutokana na madai hayo, Kabendera ambaye alikuwa amejikita katika uandishi wa habari za uchunguzi,…

Read More

China yatoa fursa zaidi Watanzania kujifunza Kichina

Dar es Salaam. China imetoa fursa ya Watanzania nchini  kupata ufadhili wa kusomeshwa katika Taifa hilo la pili kiuchumi na kwa idadi ya watu duniani. Hayo yamesemwa na Mkurugenzi wa Taasisi ya Confucius ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam inayofundisha lugha ya Kichina (CI), Profesa, Zhang Xiaozhen, wakati wa kukabidhi msaada wa vitabu 100…

Read More

MAMBA WATISHIA USALAMA WA WANANCHI WA KATA YA RUVU.

NA WILLIUM PAUL, SAME.  MKUU wa wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro, Kasilda Mgeni amewataka wananchi wa kata ya Ruvu kuwa makini na maji yanayotapakaa katika maeneo hayo kutoka mto Ruvu kutokana na maji hayo kuja na mamba ambao wanaweza kuleta madhara kwao.  Mkuu huyo wa wilaya pia amewaagiza Tarura kufika katika kata hiyo na kuona…

Read More

Wanafunzi St. Mathew wahamasishwa kujifunza Kichina

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Wanafunzi wa Shule ya Sekondari St. Mathew iliyopo Wilaya ya Mkuranga Mkoa wa Pwani wamehamasishwa kujifunza lugha ya Kichina ili kupata fursa zaidi za kujiendeleza kimasomo. Shule hiyo imekuwa ikifundisha lugha ya Kichina tangu mwaka 2016 na hadi sasa wanafunzi 100 wamenufaika kwa na wengine wamepata ufadhili wa masomo nchini…

Read More

BAKWATA: Wenza wengi nchini hawana elimu kuhusu ndoa

Na Ramadhan Hassan, Dodoma Utafiti uliofanywa na Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) umebaini kuwa wenzi wengi wanaoingia katika ndoa hawana elimu kuhusu ndoa. Kutokana na changamoto hiyo, BAKWATA itaanza kutoa elimu katika mikoa mbalimbali nchini ili kusaidia jamii kujua kuwa ndoa inataka nini. Naibu Kadhi Mkuu, Sheikh Ali Ngeruko. Hayo yamebainishwa leo Aprili 27,2024…

Read More

Sauti alivyogeuza changamoto soko la nyanya kuwa fursa

Dodoma. Upo msemo kuwa “Ukiona vinaelea vimeundwa”, ukiwa na maana ukiona jambo zuri basi kuna watu wameliwezesha kufikia hapo. Maisha ya Imani Sauti (27), mkazi wa Kata ya Ludewa iliyopo Kilosa mkoani Morogoro yanaendana na msemo huo wa wahenga, hasa ukiangalia maisha yake ya sasa na njia alizozitumia kufikia hapo. Baada ya kuhitimu kidato cha…

Read More