Habari
SAKATA LA DKT KAWAMBWA: DIWANI MSTAAFU WEMBE, ASKARI MGAMBO MIKONONI MWA POLISI
JESHI la Polisi Mkoani Pwani limewtia mbaroni Diwani wa kata ya Kiromo Mstaafu Hassan Wembe na Askari Mgambo Abdallah Mgeni na baadae kupewa dhamana, kwa kosa la kumshambulia kwa maneno makali, vitisho, dharau na kutishiwa kufungwa pingu Waziri na Mbunge Mstaafu Dkt Shukuru Kawambwa pamoja na Cathbert Enock Madondola huko Kitopeni, wilayani Bagamoyo. Aidha watuhumiwa…
SIX DECADES STRONG, CELEBRATING THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA’S PROUD UNION ANNIVERSARY
60 years of the United Republic of Tanzania, We are united and Strengthened for the Development of Our Nation. 1. Introduction. The United Republic of Tanzania was established by unifying Tanganyika and Zanzibar on April 26, 1964. It is a unified entity with a singular identity across Mainland Tanzania and Zanzibar and the surrounding water…
Ukuta wa nyumba waua watoto watatu wa familia moja
Shinyanga. Mvua zinazoendelea kunyesha katika Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga mkoani hapa, zimesababisha vifo vya watoto watatu wa familia moja katika Kitongoji cha Miembeni B, Kijiji cha Mishepo baada ya kuangukiwa na nyumba waliyokuwa wamelala usiku wa kuamkia leo. Akisimulia tukio hilo leo Ijumaa Aprili 26, 2024, mama wa watoto hao, Joyce Nchimbi ambaye amenusurika…
MSAJILI WA HAZINA AZUNGUMZA NA MKURUGENZI MPYA WA HESLB
Msajili wa Hazina Nehemiah Mchechu (kulia), akizungumza na Mkurugenzi Mtendaji Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) Dkt. Bill Kiwia (wa pili kushoto), katika kikao kilichofanyika Jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi Mtendaji Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB), Dkt. Bill Kiwia (kushoto), akizungumza alipokuwa akitoa wasilisho lake kwa…
‘Uelewa mdogo chanzo cha wakulima kutotumia mbolea’
Mwanza. Kampuni za kuuza mbolea nchini zimetakiwa kutoa elimu kwa wakulima kupitia mashamba darasa ili kuwashawishi matumizi ya mbolea shambani yanayotajwa kua chini mikoa ya kanda ya ziwa. Akizungumza leo Ijumaa Aprili 26, 2024 wakati wa mkutano wa kuwajengea uwezo mawakala wa mbolea ya Minjingu Kanda ya Ziwa, Meneja wa Kanda wa Mamlaka ya Udhibiti…
Mkakati wa Serikali kunusuru wanafunzi na mafuriko
Dar es Salaam. Mvua inayoendelea kunyesha maeneo mbalimbali nchini na kusababisha uharibifu wa mali, makazi na miundombinu ya barabara na majengo, imeifanya Serikali kuchukua uamuzi mgumu wa kuzitaka shule zote zilizoathiriwa na mvua hizo kufungwa. Uamuzi huo unachukuliwa kipindi ambacho imeshuhudiwa mvua hizo za El-Nino tangu zilipoanza Oktoba mwaka jana kusababisha vifo vya watu zaidi…
Mikoa 16 kupata mvua leo, upepo mkali wa siku nne
Dar es Salaam. Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imesema baadhi ya maeneo katika mikoa 16 ya Tanzania bara na visiwa na Unguja na Pemba zitashuhudia mvua kubwa leo Ijumaa, Aprili 26, 2024. Mikoa hiyo ni Dar es Salaam, Tanga, Pwani (ikijumuisha visiwa vya Mafia), Arusha, Manyara, Kilimanjaro, Kagera, Geita, Mwanza, Mara, Shinyanga, Simivu,…
ACT-Wazalendo kuunguruma K’njaro, Mwigamba akumbushia mapito ya kukisajili
Dar es Salaam. Chama cha ACT-Wazalendo, kesho Jumamosi Aprili 27, 2024 kitafanya mkutano wake wa kidemokrasia kujadili mwenendo wa demokrasia na uelekeo wa chama hicho, katika uchaguzi wa serikali za mita, vijiji na vitongoji. Mkutano wa kidemokrasia ambao upo kikatiba katika chama hicho utakuwa wa sita tangu kuanzishwa kwa ACT-Wazalendo mwaka 2014. Kwa sasa ACT-Wazalendo…
OSHA yatoa mafunzo kwa wajasiriamali 250 Arusha
Na Mwandishi Wetu, MtanzanianDigital Kuelekea kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Usalama na Afya Mahali pa Kazi kitakachofanyika Aprili 28 OSHA imeendelea na kampeni ya uhamasishaji wa uwepo wa mazingira salama katika maeneo ya kazi ambapo takribani wajasiriamali 250 wamepatiwa mafunzo ya usalama na afya mahali pa kazi mkkoani Arusha. Mafunzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi…