Ugawaji taulo za kike watajwa kutokomeza utoro shuleni

BAADHI ya wanafunzi na walimu wa shule za sekondari mkoani Geita wamesema zoezi la ugawaji wa taulo za kike kwa ajili ya kuwasitiri wanafunzi wa kike kipindi cha hedhi, limechangia kupunguza utoro wa wanafunzi hao katika masomo mbalimbali wanapokuwa kwenye siku za hedhi. Wakizungumza kwa nyakati tofauti hivi karibuni, wanafunzi na walimu hao wameishukuru Kampuni…

Read More