Biteko ataja vipaumbele 7 bajeti nishati 2024/25
NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko ametaja vipaumbele saba vya bajeti ya wizara yake ambavyo ni pamoja na kuendelea kutekeleza miradi ya uzalishaji, usafirishaji na usambazaji wa umeme pamoja na kufikisha gridi ya Taifa katika mikoa iliyosalia. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea). Pia kupeleka nishati vijijini, ikiwemo katika vitongoji;…