Daraja dogo la mbao chakavu lawatesa wanakijiji Hai

Hai. Wananchi wa Kijiji cha Kyuu, Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, wameiomba Serikali kuchukua hatua za haraka kujenga daraja dogo katika eneo la Mto Kishenge, Kitongoji cha Maiputa, ili kuwawezesha kuendelea na shughuli mbalimbali za kijamii na kimaendeleo bila vikwazo. Ombi hilo limetolewa wakati wa ziara ya Ofisa Tarafa wa Masama, Nswajigwa Ndagile, alipotembelea eneo…

Read More

Jela miaka 15 kwa kumuua mkewe kwa mchi bila kukusudia

Arusha. Mahakama Kuu Masijala Ndogo ya Mtwara, imemhukumu adhabu ya kifungo cha miaka 15 jela, Shaibu Mtavira, baada ya kumkuta na hatia ya kumuua bila kukusudia mkewe, Aziza Mtelia, kwa kumpiga na mchi kisha kumzika kwenye shamba lao. Shaibu alikiri kumuua mkewe baada ya kutokea kutokuelewana  katika mazungumzo yao na kusababisha mapigano kati yao ambapo…

Read More

Chaumma yaomba kura wanachama wa Chadema, yaeleza kuwaletea ‘reforms’

Morogoro. Mgombea mwenza wa urais wa Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Devotha Minja amewaomba wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kukichagua chama hicho ili mabadiliko ya sheria za uchaguzi ‘reforms’ ambazo wanazipigania wakaziharakishe. Devotha amesema hata wanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wanapaswa kuichagua Chaumma ili ikabadili mifumo ya kodi ambayo sio…

Read More