RC Mara ashusha zigo la elimu ya udumavu kwa wahudumu wa afya

Musoma. Wakurugenzi wa halmashauri tisa za wilaya mkoani Mara, wametakiwa kutenga bajeti ya kuwezesha angalau wahudumu wawili wa afya ngazi ya jamii katika kila kijiji na mtaa, hatua inayolenga kuimarisha utoaji wa elimu ya afya na lishe bora kwa wananchi. Pia, wametakiwa kuhakikisha maadhimisho ya Siku ya Afya na Lishe Vijijini yanafanyika katika vijiji vyote,…

Read More

Rais Mhe. Dkt. Samia awasili Mkoani Arusha kwa ajili ya kushiriki katika Mkutano wa Wakuu wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC).

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Mhe. Nurdin Babu pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. CPA. Amos Makalla mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA), tarehe 06 Machi, 2026. Rais Mhe. Dkt. Samia amewasili…

Read More

Wawekezaji wanawake soko la hisa bado kiduchu

Dar es Salaam. Wakati zaidi ya Watanzania 800,000 wakiwa wamewekeza katika Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE), imeelezwa kuwa wanawake ni asilimia 35 ya wawekezaji katika soko hilo mpaka sasa. Hayo yameelezwa leo, Ijumaa Machi 6, 2026 na Ofisa Mtendaji Mkuu wa DSE, Peter Nalitolela, wakati wa hafla ya upigaji kengele maalumu inayolenga…

Read More

Mbarali kutumia Sh2.5 bilioni kukamilisha miradi viporo

Mbeya. Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali, mkoani Mbeya, imekuja na mikakati maalumu ya kufanya tathmini na kutenga bajeti ya Sh2.5 bilioni kukamilisha miradi viporo kwa mwaka wa fedha 2026/2027. Kauli hiyo imekuja leo Machi 6, 2026, baada ya wananchi wa Kata ya Kongoro Mswisi, wilayani humo, kuiangukia halmashauri kuomba kukamilisha ujenzi wa miradi mbalimbali, ikiwepo…

Read More

Maofisa elimu wakumbushwa nidhamu, itifaki kazini

Dar es Salaam. Wakati jitihada za kuboresha sekta ya elimu nchini zikiendelea kuchukua nafasi kubwa katika mijadala ya kitaifa, viongozi wa elimu wametakiwa kuzingatia nidhamu, itifaki na tabia njema ili kuongeza ufanisi katika usimamizi wa sekta hiyo. Wito huo umetolewa jijini Arusha katika Mkutano Mkuu wa 12 wa Umoja wa Maofisa Elimu wa Mikoa na…

Read More

Sababu Lissu kuomba kuunganishwa kesi ya mali Chadema

Dar es Salaam. Mahakama Kuu imepanga kutoa uamuzi wa maombi ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, kujumuishwa katika kesi ya madai ya mgawanyo usio sawa ndani ya chama hicho baina ya Bara na Zanzibar Machi 26, 2026. Tarehe hiyo ya uamuzi wa maombi hayo imepangwa na Jaji Hamidu Mwanga anayesikiliza…

Read More