Video: Polisi Yatoa Onyo Kuhusu Maandamano Yasiyo na Kikomo
Video: Polisi Yatoa Onyo Kuhusu Maandamano Yasiyo na Kikomo – Global Publishers Home Habari Video: Polisi Yatoa Onyo Kuhusu Maandamano Yasiyo na Kikomo
Video: Polisi Yatoa Onyo Kuhusu Maandamano Yasiyo na Kikomo – Global Publishers Home Habari Video: Polisi Yatoa Onyo Kuhusu Maandamano Yasiyo na Kikomo
Chelsea Yapigwa, Liverpool Yang’ara, Barcelona Yapindua Meza Ulaya – Global Publishers Home Michezo Chelsea Yapigwa, Liverpool Yang’ara, Barcelona Yapindua Meza Ulaya
Trump Atoa Shinikizo Kwa Zelensky Kuhusu Makubaliano ya Amani – Global Publishers Home Habari Trump Atoa Shinikizo Kwa Zelensky Kuhusu Makubaliano ya Amani
Last updated Dec 10, 2025 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amezungumza na Global TV akitoa tathmini ya hali ya ulinzi na usalama jijini Dar es Salaam, ambapo amesema jiji lipo katika utulivu na shughuli za wananchi zinaendelea kama kawaida. Katika mahojiano hayo, Chalamila ameeleza kuwa vyombo vya…
Gamondi Ataja Kikosi cha Wachezaji 28 Kwa AFCON 2025, Majina Makubwa Yatupwa – Global Publishers Home Michezo Gamondi Ataja Kikosi cha Wachezaji 28 Kwa AFCON 2025, Majina Makubwa Yatupwa
Jeshi la Polisi limetoa taarifa rasmi kwa umma leo Jumatano, Desemba 10, 2025, likielezea hali ya ulinzi na usalama nchini katika saa za asubuhi. Katika taarifa hiyo, Jeshi la Polisi limeeleza kuwa hali ya usalama imeendelea kuwa shwari katika maeneo yote, huku askari wakiendelea kufanya doria na ufuatiliaji wa karibu ili kuhakikisha…
Waziri Simbachawene Awapongeza Askari kwa Kulinda Amani Kufuatia Fununu za Maandamano – Video – Global Publishers Home Global TV Online Waziri Simbachawene Awapongeza Askari kwa Kulinda Amani Kufuatia Fununu za Maandamano – Video
::::::: Jeshi la Polisi nchini Tanzania kwa kushirikiana na Vyombo vingine vya ulinzi na usalama nchini wamewahakikishia wananchi kuwa wataendelea kulinda usalama wa Tanzania sambamba na maisha na mali za wananchi ili waweze kuendelea na shughuli zao kwa amani, utulivu na usalama. Taarifa iliyotolewa na Msemaji wa Jeshi la Polisi Makao Makuu, Naibu Kamishna wa…
MERIDIANBET imeendelea kuwasha moto kwa ubunifu unaompa kila mchezaji sababu ya kurudi kila siku. Safari hii, wamekuja kivingine wakikuletea Zombie Apocalypse, mchezo wa kisasa uliojaa ubunifu unaofanya kila mzunguko kuwa tukio la kusisimua. Ni mchezo unaokupatia nafasi za bonasi zinazoweza kukubadilishia siku moja kwa moja. Kila ukicheza mizunguko 100 unapata hadi mizunguko 50 ya bure…