Sababu Lissu kuomba kuunganishwa kesi ya mali Chadema
Dar es Salaam. Mahakama Kuu imepanga kutoa uamuzi wa maombi ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, kujumuishwa katika kesi ya madai ya mgawanyo usio sawa ndani ya chama hicho baina ya Bara na Zanzibar Machi 26, 2026. Tarehe hiyo ya uamuzi wa maombi hayo imepangwa na Jaji Hamidu Mwanga anayesikiliza…