Zigo la migogoro ya ardhi lashushwa kwa AG, mawaziri
Dar es Salaam. Baada ya malalamiko ya muda mrefu kutoka kwa wananchi kuhusu migogoro ya ardhi nchini, Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba amewataka viongozi na mawaziri wa kisekta kutafakari na kupendekeza mbinu itakayoleta suluhu ya kudumu. Waliopewa jukumu hilo ni Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), Dk Hamza Johari, Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya…