Zigo la migogoro ya ardhi lashushwa kwa AG, mawaziri

Dar es Salaam. Baada ya malalamiko ya muda mrefu kutoka kwa wananchi kuhusu migogoro ya ardhi nchini, Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba amewataka viongozi na mawaziri wa kisekta kutafakari na kupendekeza mbinu itakayoleta suluhu ya kudumu. Waliopewa jukumu hilo ni Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), Dk Hamza Johari, Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya…

Read More

Mvutano wazuka mabasi kuhamishiwa kituo cha Kange Tanga

Tanga. Mvutano umeibuka katika kikao cha Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Tanga (RCC) baada ya wajumbe kutofautiana kuhusu mpango wa kuhamishia mabasi ya abiria yanayokuwa katikati ya jiji kwenda kwenye kituo kikuu cha mabasi cha Kange. Kikao hicho kilikuwa kikijadili mapendekezo ya makadirio ya bajeti ya mwaka wa fedha 2026/2027. Katika mitazamo miwili tofauti,…

Read More

Matumaini, mashaka ziara ujumbe UN Tanzania

Dar es Salaam. Ujumbe wa Umoja wa Mataifa (UN), umeanza vikao vya mazungumzo na vyama vya siasa kuhusu demokrasia na utawala bora nchini, huku baadhi ya vyama vikishindwa kutoa msimamo iwapo vitashiriki au havitashiriki. Lakini, ziara ya Parfait Onanga-Anyanga, mwakilishi wa Katibu Mkuu wa UN, imewagawa wadau, wengine wanapongeza na wengine wanatilia shaka, wakisema hawataki…

Read More