Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Category: Habari

  • Home
  • Habari
  • Page 4
Habari

NECTA Yatangaza Matokeo Ya Kidato Cha Sita – Global Publishers

July 7, 2025 Admin

Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Dr. Said Mohammed Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) limetangaza

Read More
Habari

Wananchi waaswa kuchangamkia fursa za Biashara katika Kilimo-Dkt.Thomas

July 7, 2025 Admin

WADAU Wadau wa Kilimo katika mnyororo mzima wa thamani wameshauriwa kuchangamkia fursa za kijasiriliamali na kibiashara zilizopo katika sekta ya Kilimo kwa kutumia Teknolojia zilizofanyiwa

Read More
Habari

71 wafutiwa matokeo kidato cha sita,  ualimu, 244 yazuiliwa

July 7, 2025 Admin

Unguja. Baraza la Mitihani la Tanzania limefuta matokeo ya watahiniwa 71, wakiwemo 70 wa mtihani wa kidato cha sita na mmoja wa ualimu daraja A

Read More
Habari

Teknolojia kudhibiti uvujaji wa mafuta baharini

July 7, 2025 Admin

Dar es Salaam. Kampuni ya utengenezaji wa vifaa vya kukabiliana na uvujaji mafuta baharini ya Desmi Africa imekuja na teknolojia mpya kukabiliana na changamoto hiyo

Read More
Habari

Ufaulu kidato cha sita wapanda

July 7, 2025 Admin

Unguja. Baraza la Mitihani la Tanzania (Necta) limetangaza matokeo ya kidato cha sita huku  ufaulu wa jumla ukiwa asilimia 99.95 kwa watahiniwa 126,135 waliofanya mtihani,

Read More
Habari

Benki ya Absa Tanzania Yatangaza Washindi wa Wazo Challenge Tanzania 2025

July 7, 2025 Admin

• Biashara tatu bora za FinTech zachaguliwa kutoka kwa kumi bora waliofika fainali miongoni mwa maombi 94 yaliyopokelewa • Washindi watapata zawadi ya kifedha, msaada,

Read More
Habari

Dk Mwinyi awapa neno vijana matumizi ya lugha za kigeni  

July 7, 2025 Admin

Unguja. Kutokana na utandawazi kuchukua nafasi kubwa katika maisha, Rais wa Zanzibar, Dk Hussein  Mwinyi amewataka vijana na jamii kuacha kutumia lugha za kigeni katika

Read More
Habari

Wizara ya Elimu yazindua mwongozo wa utoaji mikopo na ufadhili

July 7, 2025 Admin

Unguja. Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar imezindua mwongozo mpya wa mikopo na ufadhili wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), sambamba na

Read More
Habari

Haya hapa matokeo ya kidato cha sita 2025

July 7, 2025 Admin

Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) limetangaza matokeo ya mtihani wa kidato cha sita uliofanyika Mei 5 hadi 26, 2025. Matokeo hayo yametangazwa leo Jumatatu, Julai

Read More
Habari

ACT Wazalendo yamjibu Rais Samia kuhusu amani, utulivu

July 7, 2025 Admin

Shinyanga/Mbeya. Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Dorothy Semu, amesema ili kupatikane amani na utulivu nchini, Serikali haina budi kuzingatia utendaji haki kwa makundi mbalimbali

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 3 4 5 … 2,744 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.