Serikali yataja magari ya umeme muarobaini wa bei ya mafuta
Dar es Salaam. Wakati gharama za mafuta zikitarajiwa kupanda kutokana na vita inayoendelea Mashariki ya Kati, Serikali imesema ujio wa magari ya umeme utaleta unafuu wa maisha kwa Watanzania. Mzozo wa vita kati ya Marekani, Israel, na Iran umesababisha kupanda kwa bei ya mafuta duniani, ukizingatia kwamba Mashariki ya Kati inachangia asilimia 20 ya mafuta…