
Ukraine Yapinga Pendekezo la Putin la Mkutano Moscow – Global Publishers
KIEV, Ukraine – Ukraine imekataa pendekezo la Rais wa Urusi, Vladimir Putin, la kwamba Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky, aende Moscow kwa ajili ya mkutano wa pamoja. Taarifa hiyo imetolewa mapema leo, Alhamisi Septemba 4, 2025, na mtandao wa Shirika la Habari la Kimataifa la Ujerumani (DW). Putin amesema kwamba awali alikuwa…