Watoto watakaozaliwa kuanzia 2026 kuingia kundi jipya ‘Kizazi Beta’
Wanasayansi na wataalamu wa masuala ya malezi wamelitaja kundi jipya la watoto watakaozaliwa kuanzia mwaka 2026 kuitwa ‘Kizazi Beta’ (Beta Generation). Sababu za kundi hilo kuitwa kizazi Beta ni kutokana na mwendelezo wao wa kile kilichozaliwa miaka ya 2000 cha Alpha, ambacho kilianzisha mapinduzi ya teknolojia na sasa kuendeleza mapinduzi hayo yaliyoingia katika mfumo wa…