π— π—”π—šπ—˜π—¨π—­π—œ 𝗬𝗔 π—˜π—Ÿπ—œπ— π—¨ 𝗬𝗔𝗧𝗔π—ͺπ—˜π—­π—˜π—¦π—›π—” π—©π—œπ—π—”π—‘π—” π—žπ—¨π—π—˜π—‘π—šπ—” π—§π—”π—œπ—™π—” π—Ÿπ—˜π—‘π—¬π—˜ π—‘π—šπ—¨π—©π—¨ 𝗑𝗔 π—¨π—–π—›π—¨π— π—œ π—˜π—‘π——π—˜π—Ÿπ—˜π—©π—¨

 ::::::::  Serikali imeendelea kufanya uwekezaji mkubwa katika ujenzi na uboreshaji wa miundombinu ya elimu pamoja na kuongeza fursa za masomo katika ngazi mbalimbali. Miongoni mwa hatua hizo ni kuongezeka kwa bajeti ya mikopo ya elimu ya juu kutoka Sh. bilioni 464 mwaka 2020/21 hadi Sh. bilioni 926.7 mwaka 2025/26.  Akizungumza na Waandishi wa Habari Disemba…

Read More

Watalii waongezekaΒ Zanzibar Novemba Waitaliano waongoza

Unguja. Takwimu kutoka Zanzibar zinaonyesha kuwa visiwa hivyo vilipokea watalii wa kimataifa 72,833 katika kipindi cha Novemba 2025, ikiwa ni ongezeko la asilimia 8.6 ikilinganishwa na wageni 67,049 waliowasili kipindi kama hicho mwaka jana. Hiyo ni kwa mujibu wa Tume ya Utalii Zanzibar kwa kushirikiana na Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali zilizotolewa juzi Desemba…

Read More

Mashauri 15 ACT Wazalendo yatajwa mahakamani leo

Unguja. Mashauri 15 kati ya 17 ya Unguja yametajwa katika Mahakama Kuu ya Zanzibar yanayopinga matokeo ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 29, mwaka huu huku mashauri mawili ya Jimbo la Makunduchi na Kiembesamaki kutajwa kati ya Desemba 14 au 15.Β  Mashauri hayo yamefunguliwa na wanachama 15 wa Chama cha ACT Wazalendo na waliokuwa wagombea wa…

Read More

Marufuku magari binafsi, bodaboda barabara za mwendokasi

Dar es Salaam. Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (Dart) umepiga marufuku vyombo vyote vya moto isipokuwa mabasi ya ‘mwendokasi’ kutumia miundombinu ya mabasi yaendayo haraka kuanzia leo Jumatano, Desemba 10, 2025. Marufuku hiyo imetangazwa leo Jumatano na Dart kupitia taarifa kwa umma ya Kitengo cha Mawasiliano cha Uhusiano kwa Umma Dart. “Dart inasisitiza vibali vyote…

Read More

TISEZA KURATIBU UWEKEZAJI WA TRILIONI 10 KWALA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Uwekezaji na Mipango, Mhe. Prof. Kitila Mkumbo; Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso; Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Judith Kapinga; Naibu Waziri wa Nishati; Menejimenti ya TISEZA pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhe. Abubakar Kunenge wakiwa katika ziara ya kukagua maendeleo Kongani ya Viwanda ya Kwala…

Read More

TANZANIA YASHINDA TUZO YA KIMATAIFA YA SEOUL SMART CITY PRIZE 2025

Na Mwandishi Weru Seoul, Korea Kusini Internet Society Tanzania Chapter (ISOC-TZ) imetunukiwa Tuzo ya Kimataifa ya Seoul Smart City Prize 2025, kutambua mchango wake mkubwa katika kuboresha huduma za afya kupitia teknolojia ya kidijitali, hususan kupitia Mradi wa SmartJiji Public Health, unaotekelezwa chini ya Tanzania Digital Inclusion Project (TADIP). TADIP ni sehemu ya Mradi mkubwa…

Read More

WAZIRI AWESO AAGIZA MGAWANYO WA MAJI UWE KWA USAWA

WAZIRI wa Maji, Juma Aweso, ameagiza mgawanyo wa maji kutoka Chanzo cha Ruvu ufanyike kwa usawa, huku akisisitiza maji hayo yahifadhiwe. Hayo ameyasema wakati akizungumza leo Desemba 10, 2025, katika ziara yake kwenye Mtambo wa Kuzalisha Maji wa Ruvu Juu uliopo Mlandizi, Kibaha mkoani Pwani, Waziri Aweso amesema mgawanyo wa maji lazima uendane na kiwango…

Read More