Trump Aendeleza Mvutano na Ilhan Omar, Atupa Madai Mapya Yenye Utata
Trump Aendeleza Mvutano na Ilhan Omar, Atupa Madai Mapya Yenye Utata – Global Publishers Home Habari Trump Aendeleza Mvutano na Ilhan Omar, Atupa Madai Mapya Yenye Utata
Trump Aendeleza Mvutano na Ilhan Omar, Atupa Madai Mapya Yenye Utata – Global Publishers Home Habari Trump Aendeleza Mvutano na Ilhan Omar, Atupa Madai Mapya Yenye Utata
:::::::: Serikali imeendelea kufanya uwekezaji mkubwa katika ujenzi na uboreshaji wa miundombinu ya elimu pamoja na kuongeza fursa za masomo katika ngazi mbalimbali. Miongoni mwa hatua hizo ni kuongezeka kwa bajeti ya mikopo ya elimu ya juu kutoka Sh. bilioni 464 mwaka 2020/21 hadi Sh. bilioni 926.7 mwaka 2025/26. Akizungumza na Waandishi wa Habari Disemba…
Unguja. Takwimu kutoka Zanzibar zinaonyesha kuwa visiwa hivyo vilipokea watalii wa kimataifa 72,833 katika kipindi cha Novemba 2025, ikiwa ni ongezeko la asilimia 8.6 ikilinganishwa na wageni 67,049 waliowasili kipindi kama hicho mwaka jana. Hiyo ni kwa mujibu wa Tume ya Utalii Zanzibar kwa kushirikiana na Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali zilizotolewa juzi Desemba…
Unguja. Mashauri 15 kati ya 17 ya Unguja yametajwa katika Mahakama Kuu ya Zanzibar yanayopinga matokeo ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 29, mwaka huu huku mashauri mawili ya Jimbo la Makunduchi na Kiembesamaki kutajwa kati ya Desemba 14 au 15.Β Mashauri hayo yamefunguliwa na wanachama 15 wa Chama cha ACT Wazalendo na waliokuwa wagombea wa…
Dar es Salaam. Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (Dart) umepiga marufuku vyombo vyote vya moto isipokuwa mabasi ya ‘mwendokasi’ kutumia miundombinu ya mabasi yaendayo haraka kuanzia leo Jumatano, Desemba 10, 2025. Marufuku hiyo imetangazwa leo Jumatano na Dart kupitia taarifa kwa umma ya Kitengo cha Mawasiliano cha Uhusiano kwa Umma Dart. “Dart inasisitiza vibali vyote…
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Uwekezaji na Mipango, Mhe. Prof. Kitila Mkumbo; Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso; Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Judith Kapinga; Naibu Waziri wa Nishati; Menejimenti ya TISEZA pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhe. Abubakar Kunenge wakiwa katika ziara ya kukagua maendeleo Kongani ya Viwanda ya Kwala…
Na Mwandishi Weru Seoul, Korea Kusini Internet Society Tanzania Chapter (ISOC-TZ) imetunukiwa Tuzo ya Kimataifa ya Seoul Smart City Prize 2025, kutambua mchango wake mkubwa katika kuboresha huduma za afya kupitia teknolojia ya kidijitali, hususan kupitia Mradi wa SmartJiji Public Health, unaotekelezwa chini ya Tanzania Digital Inclusion Project (TADIP). TADIP ni sehemu ya Mradi mkubwa…
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Ngwaru Maghembe amepokea Nakala za Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa Jamhuri ya Namibia nchini, Mhe. Gabriel Sinimbo, katika tukio lililofanyika katika Ofisi za Wizara jijini Dodoma, Desemba 10, 2025 Katika mazungumzo yao, Mhe. Dkt. Maghembe amempongeza Mhe. Sinimbo kwa…
WAZIRI wa Maji, Juma Aweso, ameagiza mgawanyo wa maji kutoka Chanzo cha Ruvu ufanyike kwa usawa, huku akisisitiza maji hayo yahifadhiwe. Hayo ameyasema wakati akizungumza leo Desemba 10, 2025, katika ziara yake kwenye Mtambo wa Kuzalisha Maji wa Ruvu Juu uliopo Mlandizi, Kibaha mkoani Pwani, Waziri Aweso amesema mgawanyo wa maji lazima uendane na kiwango…
*Kongani za Viwanda Ni Moyo wa Dira ya maendeleo ya 2050. Na Avila Kakingo, Michuzi Tv WAZIRI wa nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo, amesema kuwa ujenzi wa uchumi jumuishi unaozalisha ajira ndiyo msingi mkuu wa Dira ya Taifa 2050, na njia bora ya kulifikia lengo hilo ni kupitia ujenzi wa…