KUELEKEA MACHI 8 WANAWAKE CHATO WAGUSA WENYE UHITAJI

Kuelekea kilele cha Siku ya Wanawake Duniani, Machi 8, wanawake wa Wilaya ya Chato mkoani Geita wameamua kuadhimisha siku hiyo kwa namna ya pekee kwa kutoa misaada na neno la faraja kwa makundi yenye uhitaji. Akizungumza wakati wa ziara hiyo, Afisa Maendeleo ya Jamii wa Wilaya ya Chato, Christina Robert, amesema wanawake wa halmashauri hiyo…

Read More

Wanawake wa TCAA Watoa Msaada Gereza la Segerea Kuelekea Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Wanawake

Kuelekea Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Wanawake, wanawake kutoka Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) wametembelea Gereza la Wanawake Segerea jijini Dar es Salaam na kutoa msaada wa vifaa na mahitaji mbalimbali kwa ajili ya kuwafariji wafungwa wanawake na watoto wanaoishi gerezani hapo. Katika ziara hiyo, wanawake hao walikabidhi mahitaji muhimu kwa uongozi…

Read More

Mapigano Marekani, Israel na Iran yazidi kupanuka

Ni piga nikupige. Ndivyo unavyoweza kuelezea hali ya mambo Mashariki ya Kati ambapo mashambulizi yanayohusisha Marekani na Israel dhidi ya Iran yameendelea siku ya sita huku Iran nayo ikijibu mapigano kwa Israel na kambi za kijeshi za Marekani katika ukanda huo. Kutokana na Iran kuzilenga kambi za Marekani, imejikuta ikirusha makombora yake hadi katika mataifa…

Read More

CCM NA FRELIMO KUIMARISHA USHIRIKIANO WA KIUCHUMI

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Asha-Rose Migiro, amekutana na kufanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Chama cha FRELIMO, (Msumbiji), Ndugu Chakil Felizardo Passadas Aboobacar, ambaye ameanza ziara rasmi ya kikazi kwa siku mbili nchini. Katika mazungumzo hayo yaliyofanyika leo tarehe 6 Machi 2026, katika Ofisi Ndogo za Makao Makuu ya CCM,…

Read More

Vyama vya siasa Mbeya vyaanzisha umoja kusaidiana

Mbeya. Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mbeya kimeahidi kubeba gharama za matibabu kumsaidia Katibu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) mkoani humo, Hamad Mbeyale, aliyelazwa katika Hospitali ya Rufaa Kanda Mbeya. Pia kimependekeza kuundwa kwa umoja na ushirikiano baina ya vyama vya siasa mkoani humo, wenye lengo la kusaidiana wakati wa shida na…

Read More

Upangishaji wa vizimba wachochea masoko kuwa wazi

Dar es Salaam. Licha ya Serikali kutumia fedha nyingi kujenga masoko ya kisasa, likiwamo Soko Kuu la Kariakoo, bado baadhi ya vizimba na maduka yameendelea kuwa matupu. Kutokana na hali hiyo, uongozi wa soko hilo umetangaza kuwa vizimba ambavyo wamiliki wake hawatavifanyia biashara ndani ya kipindi cha miezi mitatu vitapigwa mnada. Hoja hiyo imekuja baada…

Read More

Waziri ataka wananchi Zanzibar wasichague kazi

Unguja. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Katiba, Sheria, Utumishi na Utawa Bora Zanzibar, Haroun Ali Suleiman amewataka wananchi kuchangamkia kazi za hoteli kwa kuwa Serikali imewekeza zaidi katika eneo hilo. Haroun ameyasema hayo leo Ijumaa Machi 6, 2026 katika mkutano na waandishi wa habari uliolenga kueleza mafanikio ya siku 100 za Dk Hussein Ali…

Read More