Rais mstaafu ahukumiwa miaka 13 jela kwa ufisadi Peru

Rais wa zamani wa Peru, Alejandro Toledo amehukumiwa kifungo cha miaka 13 na miezi minne jela kwa tuhuma za utakatitishaji fedha akiwa madarakani. Toledo (78) anaingia kwenye orodha ya marais wastaafu wengine watano ambao wamehukumiwa kwenda jela kwa tuhuma za ufisadi wakiwa madarakani. Imelezwa kuwa Toledo, aliyekuwa rais kuanzia 2001 hadi 2006, alikutwa na hatia…

Read More

Simu ilivyofanya mapinduzi ujumuishi wa kifedha Tanzania

Fikiria hali ingekuwaje leo hii kama huduma za fedha kwa njia ya simu zisingekuwepo nchini. Bila shaka unaweza kuvuta picha namna ambavyo kungekuwa na foleni kubwa benki na maeneo mengi ya huduma. Pengine kungekuwa na matukio mengi ya uporaji kutokana na kukithiri kwa matumizi ya pesa taslimu. Suala la kupokea au kutuma fedha kwa ndugu…

Read More

Dk Nchimbi: Tutaimarisha demokrasia, uhuru wa vyombo vya habari

Shinyanga. Mgombea mwenza wa urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi amesema katika kipindi cha miaka mitano ijayo watasimamia vyema uhuru wa vyombo vya habari. Pia, chama hicho kikipata ridhaa ya wananchi katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Jumatano ya Oktoba 29, 2025 kitasimamia kukuza demokrasia ili Watanzania wafanye siasa bila hofu wala mashaka. Dk…

Read More