Mbaroni akidaiwa kumuua mtoto mchanga baada ya kujifungua

Morogoro. Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro linawashikilia watu wawili kwa tuhuma za mauaji, akiwemo mwanamke anayedaiwa kumuua mtoto wake mchanga baada ya kujifungua. Akizungumza na waandishi wa habari leo Machi 6, 2026, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Alex Mkama, amesema jeshi hilo linamshikilia mkazi wa Mlima, wilaya ya Kilombero, Elizabeth Leonard Colnery (17),…

Read More

BARRICK KUENDELEZA DHAMIRA YA KUWAWEZESHA WANAWAKE KUPATA FURSA SAWA SEKTA YA MADINI

Katika kuelekea kilele cha maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani 2026 yakiendelea,kampuni ya Barrick nchini yenye ubia na serikali kupitiaa kampuni ya Twiga Minerals, imeendeleza dhamira yake ya kuhakikisha Wanawake wanapewa fursa sawa katika ushiriki wa mnyororo wa sekta ya madini ambapo imewawezesha wafanyakazi wake wanawake 5 kupata mafunzo uongozi kupitia programu ya Mwanamke wa…

Read More

Ushindi Wako Unaanzia Meridianbet Leo kwa Early Payout

Je unajua kuwa leo hii unaweza kutengeneza pesa na Meridianbet haraka sana kupitia chaguo la EARLY PAYOUT. Chagua mechi zako sasa na ubashiri ndani ya Meridianbet. Meridianbet, inaendelea kutoa huduma mpya ya Early Payout, inayolenga kuboresha uzoefu wa wateja wake na kuhakikisha ushindi unapatikana haraka zaidi. Huduma hii ni suluhisho la kipekee kwa wapenzi wa…

Read More

Wachungaji Wamwombea Rais Trump Ikulu ya Marekani

Global Publishers March 6, 2026 0 Comments Donald Trump amefanyiwa maombi maalum na wachungaji kadhaa katika ofisi ya Oval Office, wakimuombea hekima, uimara na uwezo wa kuliongoza taifa la Marekani. Tukio hilo lilifanyika jana ambapo wachungaji hao walikusanyika ndani ya ofisi hiyo na kumzunguka rais huyo huku wakimuombea kwa pamoja. Baadhi yao walimwekea mikono wakati…

Read More

Trump: Mapambano Ya Ardhini na Iran ni Kupoteza Muda

Global Publishers March 6, 2026 0 Comments Donald Trump amepuuzilia mbali uwezekano wa kuanzisha uvamizi wa kijeshi wa ardhini nchini Iran kwa sasa, akueleza mpango huo kama “kupoteza muda” kutokana na kushindwa kwa nguvu za kijeshi za nchi hiyo, ikiwemo Iranian Navy. Akizungumza kwa njia ya simu na NBC News jana Alhamisi, Machi 5, 2026,…

Read More