
Rais mstaafu ahukumiwa miaka 13 jela kwa ufisadi Peru
Rais wa zamani wa Peru, Alejandro Toledo amehukumiwa kifungo cha miaka 13 na miezi minne jela kwa tuhuma za utakatitishaji fedha akiwa madarakani. Toledo (78) anaingia kwenye orodha ya marais wastaafu wengine watano ambao wamehukumiwa kwenda jela kwa tuhuma za ufisadi wakiwa madarakani. Imelezwa kuwa Toledo, aliyekuwa rais kuanzia 2001 hadi 2006, alikutwa na hatia…