Dk Nchimbi: Tutaimarisha demokrasia, uhuru wa vyombo vya habari

Shinyanga. Mgombea mwenza wa urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi amesema katika kipindi cha miaka mitano ijayo watasimamia vyema uhuru wa vyombo vya habari. Pia, chama hicho kikipata ridhaa ya wananchi katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Jumatano ya Oktoba 29, 2025 kitasimamia kukuza demokrasia ili Watanzania wafanye siasa bila hofu wala mashaka. Dk…

Read More

Masele, Katambi waitwa jukwaani kuyamaliza, Dk Nchimbi asema…

Shinyanga. Jimbo la Shinyanga Mjini, ni moja kati ya majimbo ya Chama cha Mapinduzi (CCM) yaliyokuwa na mvutano mkali katika mbio za kumpata mgombea ubunge katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Jumatano ya Oktoba 29, 2025. Kati ya watinia lukuki waliojitokeza, Patrobasi Katambi na Stephen Masele ndiyo walikuwa katika vuta nikuvute kubwa. Wawili hao, wamekuwa kwenye ‘vita’…

Read More

EQUITY NA TALEPP KUZINDUA MAPINDUZI SEKTA YA NGOZI

:::::: Benki ya Equity Tanzania imeingia makubaliano ya ushirikiano na Chama cha Watengenezaji wa Bidhaa za Ngozi Tanzania, TALEPPA, kwa lengo la kufungua fursa mpya katika sekta ya ngozi na kuimarisha viwanda vya ndani,Makubaliano hayo yameambatana na uzinduzi wa Mradi wa Viatu vya Shule Tanzania, TALSSI, unaolenga kuongeza thamani ya ngozi ya ndani na kuchochea…

Read More