Habari
TANZANIA YAWASILISHA MAFANIKIO YA UTEKELEZAJI WA MIKATABA
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Festo Dugange akifanya mazungumzo na Mwenyekiti wa Jopo la Serikali Mbalimbali kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi (IPCC) Sir Jim Skea kuhusu uwezeshwaji wa nchi uwezo wa kuandaa na uoembuzi wa taarifa za kisayansi kuhusu hali ya mazingira. Majadiliano hayo yamefanyika pembezoni mwa Mkutano wa…
Rais Dkt. Samia Apokea Hati za Utambulisho kutoka kwa Mabalozi wa Angola, Uholanzi, Iran, Slovakia pamoja na Namibia wanaowakilisha nchi zao Tanzania, Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma
RAIS Dkt. Samia Suluhu Hassan apokea Hati za Utambulisho kutoka kwa Mabalozi wa Angola, Uholanzi, Iran, Slovakia pamoja na Namibia wanaowakilisha nchi zao Tanzania, Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Balozi Mteule wa Jamhuri ya Angola hapa nchini Mhe. Domingos De…
Jiunge Na Wild White Whale na Ujiokotee Mizunguko 50 ya Bure Kila Siku
MERIDIANBET inakukaribisha kwenye ardhi mpya ya bahati, bahari ya ushindi isiyopimika. Mchezo unaotikisa anga la kasino, Wild White Whale, sasa umeleta nguvu mpya kupitia promosheni yenye zawadi za papo hapo na msisimko ambao haujawahi kushuhudiwa. Hii ndiyo nafasi ya kujitupa mbali zaidi ya mawimbi ya kawaida na kutafuta hazina iliyo chini ya bahari ya bahati….
Uhaba wa maji Dar unavyobadilisha mfumo wa maisha ya wananchi
Dar es Salaam. Changamoto ya upatikanaji wa huduma maji safi na salama imeendelea kuathiri mfumo wa maisha ya baadhi ya wakazi wa Dar es Salaam na kusababisha mabadiliko ya shughuli zao za kila siku, uchumi wa kaya na afya za wakazi. Kwa wiki kadhaa sasa, baadhi ya maeneo yamekuwa yakikabiliwa na adha hiyo, hali inayowalazimu…
WCF Yapongezwa Kwa Utoaji Huduma Bora Kwa Wananchi
WCF Yapongezwa Kwa Utoaji Huduma Bora Kwa Wananchi – Global Publishers Home Habari WCF Yapongezwa Kwa Utoaji Huduma Bora Kwa Wananchi
UN yazindua kikosi kazi kulinda masilahi ya nchi zenye madini muhimu, Tanzania yatoa angalizo
Nairobi. Umoja wa Mataifa (UN) umezindua kikosi kazi kitakacholenga kuhakikisha nchi tajiri kwa madini muhimu (critical minerals) zinanufaika na rasilimali hizo zinazotumika katika mpito wa nishati safi. Hata hivyo, Tanzania imeunga mkono hatua hiyo ikitoa angalizo juhudi hizo zisigeuke kuwa vikwazo kwa maendeleo ya kiuchumi ya mataifa yenye rasilimali hizo. Kikosi kazi hicho (global task…
Wakili Mwasipu Afungua Maomba ya Kutaka Kupewa Dhamana Ya Geofrey Mwambe
Wakili Mwasipu Afungua Maomba ya Kutaka Kupewa Dhamana Ya Geofrey Mwambe – Global Publishers Home Habari Wakili Mwasipu Afungua Maomba ya Kutaka Kupewa Dhamana Ya Geofrey Mwambe
Wananchi, CCM wanavyomlilia Jenista Mhagama Peramiho
Songea. Huzuni na vilio vimetawala kwa wananchi wa Jimbo la Peramiho mkoani Ruvuma kutokana na mbunge wao, Jenista Mhagama kufariki dunia leo Alhamisi Desemba 11,2025 jijini Dodoma. Wananchi hao wamesema wamepokea kwa masikitiko kifo cha Mhagama, huku wengine wakisema taarifa hiyo imewachanganya kwa sababu mbunge huyo alikuwa kiongozi hodari, mzalendo na mchapakazi. Wakizungumza na Mwananchi…
SERIKALI YAZIDISHA USHIRIKIANO KUWEZESHA VIJANA KIELIMU NA KIUCHUMI
Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Ofisi ya Waziri Mkuu – TAMISEMI na Ofisi ya Rais Maendeleo ya Vijana Disemba 11, 2025 wamekutana jijini Dodoma kujadili kwa pamoja mikakati ya kuimarisha ushirikiano katika kuwawezesha vijana wa Tanzania kupata fursa za elimu, ujuzi na ajira. Kikao hicho kimeongozwa na Prof. Carolyne Nombo, Katibu Mkuu Wizara…