TANZANIA YAWASILISHA MAFANIKIO YA UTEKELEZAJI WA MIKATABA

Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Festo Dugange akifanya mazungumzo na Mwenyekiti wa Jopo la Serikali Mbalimbali kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi (IPCC) Sir Jim Skea kuhusu uwezeshwaji wa nchi uwezo wa kuandaa na uoembuzi wa taarifa za kisayansi kuhusu hali ya mazingira. Majadiliano hayo yamefanyika pembezoni mwa Mkutano wa…

Read More

Rais Dkt. Samia Apokea Hati za Utambulisho kutoka kwa Mabalozi wa Angola, Uholanzi, Iran, Slovakia pamoja na Namibia wanaowakilisha nchi zao Tanzania, Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma

RAIS Dkt. Samia Suluhu Hassan apokea Hati za Utambulisho kutoka kwa Mabalozi wa Angola, Uholanzi, Iran, Slovakia pamoja na Namibia wanaowakilisha nchi zao Tanzania, Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Balozi Mteule wa Jamhuri ya Angola hapa nchini Mhe. Domingos De…

Read More

UN yazindua kikosi kazi kulinda masilahi ya nchi zenye madini muhimu, Tanzania yatoa angalizo

Nairobi. Umoja wa Mataifa (UN) umezindua kikosi kazi kitakacholenga kuhakikisha nchi tajiri kwa madini muhimu (critical minerals) zinanufaika na rasilimali hizo zinazotumika katika mpito wa nishati safi. Hata hivyo, Tanzania imeunga mkono hatua hiyo ikitoa angalizo juhudi hizo zisigeuke kuwa vikwazo kwa maendeleo ya kiuchumi ya mataifa yenye rasilimali hizo. Kikosi kazi hicho (global task…

Read More

Wananchi, CCM wanavyomlilia Jenista Mhagama Peramiho

Songea. Huzuni na vilio vimetawala kwa wananchi wa Jimbo la Peramiho mkoani Ruvuma kutokana na mbunge wao, Jenista Mhagama kufariki dunia leo Alhamisi Desemba 11,2025 jijini Dodoma. Wananchi hao wamesema wamepokea kwa masikitiko kifo cha Mhagama, huku wengine wakisema taarifa hiyo imewachanganya kwa sababu mbunge huyo alikuwa kiongozi hodari, mzalendo na mchapakazi. Wakizungumza na Mwananchi…

Read More