DC NYAMWESE AWAPA SOMO WANAWAKE HANDENI MJI MATUMIZI YA SIMU JANJA KIBIASHARA

    Na Mwandishi Wetu, Handeni Wanawake katika Halmashauri ya Mji Handeni wametakiwa kutumia simu janja na teknolojia ya kidijitali kwa kuwa ni nyenzo muhimu ya kukuza biashara na kujikwamua kiuchumi kupitia fursa mbalimbali zinazopatikana mtandaoni.  Mkuu wa Wilaya ya Handeni, Mhe. Salum Nyamwese ameyasema hayo wakati akizindua Jukwaa la Uwezeshaji Wanawake Kiuchumi katika kongamano…

Read More

Sika Tanzania Yaadhimisha Miaka 10 kwa Kuzindua Mitambo ya Kisasa Dar es Salaam na Mwanza

Balozi wa Switzerland nchini Tanzania, Nicole Providoli akishirikiana na viongozi mbalimbali wa Kampuni ya Sika Tanzania wakikata Utepe kuashiria usheherekeaji wa miaka 10 ya kampuni hiyo pamoja na uzinduzi wa mitambo mipya ya kisasa katika miji ya Dar es Salaam na Mwanza.  KAMPUNI ya kimataifa ya uzalishaji wa kemikali maalum za ujenzi, Sika Tanzania, imeadhimisha miaka…

Read More

Je Wolves Msimu Huu Atashuka Daraja?

LEO hii Meridianbet inaangazia klabu ya Wolverhampton Wanderers ambao wamekuwa na msimu mbaya kwenye mashindano yote hadi sasa. Timu hiyo kutoka Uingereza inahitaji mabadiliko za haraka sasa kubakia kwenye ligi msimu ujao. Wolverhampton Wanderers wameonyesha ukuaji na mapambano yasiyo na kifani kwenye mashindano yote waliyoshiriki. Licha ya changamoto za kiufundi na ushindani mkali kutoka klabu kubwa…

Read More

WAZIRI ULEGA: BARABARA YA TAMKO MAPINGA KUKAMILIKA

Na Khadija Kalili,Kibaha WAZIRI wa Wizara ya Ujenzi ambaye pia ni Mhe.Mbunge wa Jimbo la Mkuranga Abdallah Ulega amesema kuwa barabara ya TAMCO Mapinga itakamilika katika msimu ujao wa fedha na kuwataka wananchi waendelee kuwa wastahmilivu na adha wanayoipitia sasa. Waziri Ulega amesema hayo katika kikao cha siku moja cha Bodi ya Barabara ya Mkoa…

Read More

TBA YASHIRIKI KLINIKI YA KUTATUA KERO ZA WANANCHI DODOMA

  Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) Mkoa wa Dodoma unashiriki katika Kliniki maalum ya kutatua kero na changamoto mbalimbali za wananchi iliyoandaliwa na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, inayofanyika tarehe 3 hadi 6 Machi, 2026 katika viwanja vya Nyerere Square jijini Dodoma. Kupitia kliniki hiyo, TBA inakutana na wateja wake ambao ni wapangaji…

Read More

ALHIKMA FOUNDATION YATANGAZA MASHARTI 10 YA NDOA 130

:::::::: Msharti 10 yaliyotangazwa na Taasisi ya Al-Hikma ili kutimiza kigezo cha kufanikisha mchakato huo.  Miongoni mwa masharti hayo yaliyotangazwa na mkurugenzi wa taasisi hiyo, Sheikh Nurdin Kishki ni pamoja na mwanamke ndio akachukue fomu ya mchakato huo, awe Mtanzania, muombaji asiwe na mume na huyo mtarajiwa wake asiwe na mke.  Mengine ni awe ameposwa…

Read More

Magumu waliyopitia wananchi Ushetu kuvuka mto Igombe, Serikali…

Ushetu. Wananchi wa kata ya Ulowa na Ubangwe wameeleza changamoto waliyoipitia kuvuka mto Igombe ikiwamo ndugu zao kupoteza maisha sambamba na kuwasababishia umaskini. Wamesema kukamilika kwa ujenzi wa daraja Ubangwe kumefufua matumaini ya ustawi wao, kwani sasa wana uhakika wa kuvuka kwenda upande wa pili bila baada ya  Serikali kuwapatia suluhu ya tatizo hilo. Wameeleza…

Read More