Waziri Mkuu Mwigulu Awasili Arusha Kuzindua Miradi ya Kilimo na Kuzungumza na Wananchi
Global Publishers March 6, 2026 0 Comments Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba leo Machi 6, 2026 amewasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) ambapo anatarajiwa kufanya ziara ya siku moja mkoani Arusha katika Wilaya za Karatu na Monduli. Mheshimiwa Dkt. Mwigulu anategemea kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa skimu za umwagiliaji…