Waziri Sangu akutana na Menejimenti ya PSSSF

Waziri wa NchI Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano Mhe. Deus Sangu amekutana na kufanya mazungumzo na Menejimenti pamoja na baadhi ya Watumishi wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF), leo Desemba 10, 2025, jijini Dodoma. Mazungumzo hayo ni sehemu ya mwendelezo wa mikutano yake na…

Read More

KAMPENI YA ‘VUNA NA MIXX’ YAWAKOMBOA WAKULIMA WA KILOSA

Kilosa, Tanzania – Wakulima wa Wilaya ya Kilosa wamekabidhiwa zawadi mbalimbali ikiwemo pikipiki, baiskeli, simu janja na paneli za sola, ikiwa ni sehemu ya kampeni ya “Vuna na Mixx” inayolenga kutambua na kuhamasisha matumizi ya malipo ya kidigitali katika sekta ya kilimo. Hafla hiyo imehudhuriwa na Mkuu wa Wilaya ya Kilosa, Mheshimiwa Shaka Hamdu Shaka,…

Read More

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Aipongeza Airtel Tanzania kwa kuchochea ujumuishwaji wa watu kidigitali na uwezeshaji wa jamii

Dar es Salaam, 10 Desemba 2025. WAZIRI wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angelina Kairuki, ameipongeza Airtel Tanzania kwa kuendelea kuongoza katika utoaji wa huduma bora za mawasiliano nchini, kuchangia mapato ya serikali na kutoa ajira kwa zaidi ya Watanzania 2,000. Pongezi hizo zimetolewa kufuatia ziara ya Waziri Kairuki katika ofisi za Airtel,…

Read More

UNEA-7: Ilichojifunza Tanzania kutokana na urithi wa Wangari Maathai, kutetea haki na mazingira

Nairobi. Kwenye kikao cha saba cha Baraza la Umoja wa Mataifa la Mazingira (UNEA-7) kinachoendelea Nairobi nchini Kenya, viongozi na wadau wametoa wito kwa nchi za Afrika, ikiwamo Tanzania, kujifunza kutokana na urithi wa Wangari Maathai wa Kenya, ambaye alipambana kuunganisha amani, demokrasia, haki za binadamu na uhifadhi wa mazingira. Kutokana na juhudi hizo mwaka…

Read More

BARRICK BUZWAGI YAPONGEZWA KWA UTEKELEZAJI MIRADI YA KUSAIDIA JAMII NA YENYE KULETA MAENDELEO ENDELEVU

Naibu Meya wa Manispaa ya Kahama, mkoani Shinyanga, Shaban Mikongoti (aliyevaa suti ya bluu),akizungumza alipofanya ziara kwenye mradi ujenzi wa chujio la maji ya mvua linalojengwa katika Kata ya Mwendakulima unaotekelezwa kwa ufadhili wa Barrick Buzwagi kwa ushirikiano na Serikali. Naibu Meya wa Manispaa ya Kahama, mkoani Shinyanga, Shaban Mikongoti (aliyevaa suti ya bluu),akipata maelezo…

Read More