
MKAKAMU WA RAIS AWEIKA JIWE LA MSINGI KITUO CHA KUTIBU SARATANI
………….. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango amesema Serikali imedhamiria kuimarisha huduma za tiba za kitalii, ikiwa ni sehemu ya mikakati ya kuboresha na kuimarisha sekta ya afya nchini na kuchangia kwenye Pato la Taifa. Makamu wa Rais amesema hayo wakati wa hafla ya uwekaji wa Jiwe…